Blackcornshman
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 6,083
- 13,959
Kama una plot tayari kwa nyumba zetu ndogo za kibantu inatosha mpaka hatua ya kujikinga mvua,jua na baridi na chenji ya bia inabaki unaenda kujipongeza.
Habari wadau! Naomba kuuliza ukiwa na TZS 20 Milioni na unataka kujenga nyumba ya Vyumba 3 na Master unaweza kuanza na kufika hatua Gani?
Ntashukuru kama mtanipa estimate za kila hatua
Asantee
Hili nalo nenoPia msipende kujibu maswali kiurahisi ili uonekane wewe ni mtu wa maana kwa sababu unampa mtu moyo.
Sometimes mtu inatakiwa aondolewe kutoka fikra fulani kabla ya kuanza project yake.
Kwa mfano, mleta mada ni vizuri akishauriwa kuwa nyumba vyumba vitatu haielezi nini unachohitaji.
Angeleta ramani, au akaelezea size ya vyumba etc...
La sivyo tutakuwa tunajibishana tu, unaweza, huwezi, unaweza, huwezi ... kwa siku kumi. No description.
Unazungumzia vyumba 4 vya kulala! Tayari huo mradi ni mkubwa. Ingekuwa vyumba 3 ya kawaida isiyo na mbwembwe, pesa ingetosha 95%. Kwa kupanga, yaani mbao za kenchi unapaka oil. Tiles za Tz. Bati iliyo nafuu no colour. Ramani punguza corridor kuokoa blocks. Milango ya ndani "flush doors" na mengine mengi. Ila usibane cement katika ujenzi wako. Simamia fundi material yote itumike sawa na hakikisha nyumba inanyooka. Wewe uwe pima maji. Nunua Square, kila kona pima.Habari za Mchana wadau
Nashukuru saana kwa michango yenu ambayo imenipa moyo na changamoto pia. Labda niweke wazi kidogo mahitaji ya nyumba ninayotaka kujenga labda naweza kupata mawazo mazuri zaidi yatakayonisaidia.
Kwanza huu ndio ujenzi wangu wa kwanza na sina uzoefu katika masuala ya ujenzi ila nimejaribu kufanya research kwa baadhi ya vitu ambavyo naweza kuanza navyo.
Kiwanja changu kipo sehemu tambarare kabisa na kimezungukwa na majirani ambao wameshajenga. Maji yapo na umeme upo mita 100 tu. Nimeshavuta Maji ya Dawasa katika plot yangu.
FLOOR PLAN YA NYUMBA
Nyumba ni ya vyumba 3 yenye
_ Master Bedroom yenye WIC
_ Vyumba 3 plain
_ Living/Sitting Room
_ Dinning
_ Jiko na Stoo
_ Public Washroom
Kianzio nilichonacho kama nilivosema hapo ni 20mn so nataka walau kupata muelekeo wa wapi naza kufika lakin pia kujua mahitaj muhimu
Mfano
Matofali
Cement
Ni hatua ipo Nondo zitahitajika
Nk
Ni typing Error! Master Bedroom na Vyumba viwili PlainUnazungumzia vyumba 4 vya kulala! Tayari huo mradi ni mkubwa. Ingekuwa vyumba 3 ya kawaida isiyo na mbwembwe, pesa ingetosha 95%. Kwa kupanga, yaani mbao za kenchi unapaka oil. Tiles za Tz. Bati iliyo nafuu no colour. Ramani punguza corridor kuokoa blocks. Milango ya ndani "flush doors" na mengine mengi. Ila usibane cement katika ujenzi wako. Simamia fundi material yote itumike sawa na hakikisha nyumba inanyooka. Wewe uwe pima maji. Nunua Square, kila kona pima.
Asantee kwa mawazo yako KakaUnazungumzia vyumba 4 vya kulala! Tayari huo mradi ni mkubwa. Ingekuwa vyumba 3 ya kawaida isiyo na mbwembwe, pesa ingetosha 95%. Kwa kupanga, yaani mbao za kenchi unapaka oil. Tiles za Tz. Bati iliyo nafuu no colour. Ramani punguza corridor kuokoa blocks. Milango ya ndani "flush doors" na mengine mengi. Ila usibane cement katika ujenzi wako. Simamia fundi material yote itumike sawa na hakikisha nyumba inanyooka. Wewe uwe pima maji. Nunua Square, kila kona pima.
Utamaliza hadi kupaua, finishing ndo itakubidi ujikusanyekusanye tena kulingana na kiwango unachotaka. Utaweza kuhamia kabisa japo ni kukiri udhaifuHabari wadau! Naomba kuuliza ukiwa na TZS 20 Milioni na unataka kujenga nyumba ya Vyumba 3 na Master unaweza kuanza na kufika hatua Gani?
Ntashukuru kama mtanipa estimate za kila hatua
Asantee
Amna bana jamaa kaongea ukweli lakini, usije kumpa mtu moyo akapewa liramani la kufa mtu uko kwasababu tu ni ya room 3 akaishia kwenye lentaVitisho vimeanza. Nyumba zetu za kawaida anaweza kuhamia kabisa akaremba akiwa ndani
Ficha ujinga wako mkuuSisi kuna sehemu tulimpa ramani ya ujenz wa kanisa, mafund wote waliotangulia kuanzia vifaa mpaka ujenz ni zaidi ya 30ml, hiyo ilkuwa kusimamisha nguzo 30 za jengi n.k
Kutoka kwake yeye, mambo yafuatayo akaanza kutueleza.
1. Raman inasema kila nguzo ni nondo 6 za 16mm, ila yeye ametuambia kwa ghorofa moja tu inayobeba watu 50 mpaka 70 na wingi wa nguzo, kila nguzo nondo 4 za 16mm zinatosha sana.
2. Mainjinia wanaweka mambo mengi ktk raman ili kusaidia kupatikana kwa kibali cha ujenzi.
3. Mafundi walipendekeza zile kokoto nyeusi, ila yeye akatuambia tutafute zile kokoto ambazo ni jiwe, na kweli tulizipata uko mbutu kwa 700k kipind kile, ile Mende Scania.
Mambo ni mengi sana, sio rahisi kuyaandika yote kupitia siimu.
Tehtehteh acheni utaniKwa nijuavyo mimi, endapo una kiwanja tayari. Hiyo 20m ni mpaka unaezeka, na ukiwa vizuri mpka grills umeweka.
MmmmhUnaweza kumaliza kwa 96% na ukahamia.
Kuna mtu kajenga hivyo, Mbande tena kwa 15M na kashahamia tayari.
Ni ngumu sana kumuelewa sababu mnapata mafundi ambao hawana uzoefu mkubwa. Kwahiyo material wanaweka mengi kwa kuhofia kuharibu kazi, na gharama zao pia zinakuwa juu.Mmmmh
Asantee Sana Kaka kwa mawazo yakoMkuu Squubby2019 ramani yako ndo itasema kila kitu, tafuta ramani kwanza
Nina mpango wa kusimamia mwenyeweKama utasimamia mwenyewe unamaliza ila kama kuna mpambe imekula kwako.
Unamaanisha nini MkuuNyumba vs mabanda
Haiwezi kutosha ndio ila anaweza ingia finishing ikaishia ndaniHivo hivo!
Jamaa ana 20 halafu anaambiwa inaweze isitoshe ,kwa nyumba ya vyumba 3
Kisaikolojia anaandaliwa kufeli