naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,854
- 5,276
Sikumbuki nilifungua channel ipi nikakuta mfanyakazi wa fire anatoa maelezo alipoulizwa kuhusu hizi nondo tunazoweka alisema kabla hujaweka hizo nondo unatakiwa ukawaone fire wakupe ushauri jinsi ya kuweka, alisema hawezi kuelezea pale kwa vile anayetakiwa kujua ni muhusika tu kwa usalama. Nadhani Kwa wawekaji nondo ingekuwa vizuri kuwaona fire kabla hujaanza maandalizi