Recent content by Mkulima Big Results

  1. M

    Msaada: Simu inaingiza chaji Then inaacha

    Hakuna kingine Bali unahitaji kubadili battery
  2. M

    Pita hapa ujifunze maneno ya kiingereza tunayoyatamka kimakosa, usisahau nawe kuweka ya kwako

    Pio Pio badala ya p-o-p Akimaanisha bandeji ngumu wanayowekewa wagonjwa waliovunja mifupa
  3. M

    Sehemu nzuri za kuzuru mwezi ujao kwa budget ya chini

    Ukiomba ushauriwe sehemu ya kudhuru inakuwa tayari jinai hiyo labda ulimaanisha kuzuru
  4. M

    Kwa matatizo ya gari

    Mkuu ! Naomba unijuze magonjwa common ya Nissan x-trail na ufumbuzi wake
  5. M

    Jerry Muro: Urais wa Kizalendo ni mgumu Tanzania

    Sikujua kama jerry muro una upeo wa juu wa uelewa kiasi hiki .Utatukanwa kukejeliwa lakini ukweli utabaki palepale kwa mahala nchi yetu ilipokuwa imefika Magufuli ndiye suluhisho , zingine zote kelele na ukosefu wa kumbukumbu ya jinsi mambo yalivyokuwa yakiendeshwa vibaya serikalini miaka...
  6. M

    Sijawahi kupanda ndege, Mambo gani ya muhimu ya kuzingatia ukisafiri na ndege kwa mara ya kwanza?

    Kabla ya kuondoka jifunze maana ya maneno yafuatayo 1.Departures 2.Arrivals 3.Passport check 4.Baggage claim Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

    Pius Hugo high I high high in jug lithium hui Hui this buoy you buy hui took out I guilty KTU Hugh thug high I hit hut juju I by youth you I it I of Kikuyu you Yuki yoko yuyyiohhjjjvz Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
  8. M

    Book reading: Unasoma au Umesoma kitabu gani ungependa wengine wakisome?

    Pius Hugo high I high high in jug lithium hui Hui this buoy you buy hui took out I guilty KTU Hugh thug high I hit hut juju I by youth you I it I of Kikuyu you Yuki yoko yuyyiohhjjjvz Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
  9. M

    Nimeolewa ila nimefall kwa jamaa

    Siku zote tamaa ni mtego wa shetani
  10. M

    Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

    Tusipojifunza uzalendo wa kulipa kodi tujiandae kuoana wanaume kwa wanaume ili tufaidi kodi za wazungu tunazozipokea kama misaada
  11. M

    Kuna watu wengi sana weupe mdomoni,wasiojua kujenga hoja katika maongezi yoyote but ni matajiri

    Hiyo ndio faida ya specialization wamejikita katika kufanya mambo machache wanayo yamudu vyema bila kujichanganya na kila kitu lazima wafanikiwe
Back
Top Bottom