Kuna watu wengi sana weupe mdomoni,wasiojua kujenga hoja katika maongezi yoyote but ni matajiri

kaseva

JF-Expert Member
Mar 19, 2016
473
301
Hii kitu imekaaje ndugu zangu?
Nimewahi ona matajiri kadhaa, weupe sana kwenye mazungumzo.
Mtu mweupeee mdomoni ukimsikiliza,
Ila ana majumbaa, maviwanja
Magari tena malori na magari kutembelea, tena v8 n.k
Na haonyeshi kama ni mshirikina.
Anaonekana mtulivu na muda wote anawaza mambo yake tuu, kwa hiyo ukimuuliza habari za tofauti na biashara yake umempoteza.
Hajui mpira.
Hajui siasa.
Hawaendagi baa ( hawachangamani sana)
Hajui mambo mengi zaidi ya kazi yake
But they are rich
How
Why
Wamepateje?
 
Hii kitu imekaaje ndugu zangu?
Nimewahi ona matajiri kadhaa, weupe sana kwenye mazungumzo.
Mtu mweupeee mdomoni ukimsikiliza,
Ila ana majumbaa, maviwanja
Magari tena malori na magari kutembelea, tena v8 n.k
Na haonyeshi kama ni mshirikina.
Anaonekana mtulivu na muda wote anawaza mambo yake tuu, kwa hiyo ukimuuliza habari za tofauti na biashara yake umempoteza.
Hajui mpira.
Hajui siasa.
Hawaendagi baa ( hawachangamani sana)
Hajui mambo mengi zaidi ya kazi yake
But they are reach
How
Why
Wamepateje?
"But they are reach." Sijakuelewa mkuu
 
Nadhani wanamalengo na wanajua nani wa kuongea naye. Mara nyingine unaweza kuwa na marafiki wengi lakini wote wakawa ni wafilisi tu na wapiga kelele tu. Pesa ni mipango na sio uwingi wa marafiki. Pesa ni idadi ya fursa unazopata na unavyo zitukimia na sio mipango makelele na fujo.
Lakini kumbuka pia kila mtu anawakati na bahati chini ya juu, kwa maana sio wenye mbio wanaoshinda,wala wenye akili ndio wapatao pesa, wala walio mahili washindao vita ila wakati wa Mungu humkuta kila mtu.

Juu ya yote kumbuka duniani vyote ni ubatili mtupu pasipo Mungu. Utapata mali hutashiba, utakuwa na wanawake wengi hutapata mapenzi,utalewa hutapata furaha kwa maana vyote ni ubatili tena ubatili mtupu.
 
Hii kitu imekaaje ndugu zangu?
Nimewahi ona matajiri kadhaa, weupe sana kwenye mazungumzo.
Mtu mweupeee mdomoni ukimsikiliza,
Ila ana majumbaa, maviwanja
Magari tena malori na magari kutembelea, tena v8 n.k
Na haonyeshi kama ni mshirikina.
Anaonekana mtulivu na muda wote anawaza mambo yake tuu, kwa hiyo ukimuuliza habari za tofauti na biashara yake umempoteza.
Hajui mpira.
Hajui siasa.
Hawaendagi baa ( hawachangamani sana)
Hajui mambo mengi zaidi ya kazi yake
But they are reach
How
Why
Wamepateje?
hivi kujua hivyo ulivyovitaja ni kuwa na madini kichwani? You have wrong priorities bro inawezekana wewe ndo mweupe. Tajiri ana madini kichwani ndo maana ni tajiri.
 
Back
Top Bottom