Recent content by mkude-filbert

  1. M

    Msaada: Namna ya kulipia page ya kibiashara Facebook na Instagram

    Atumie za mobile hizi za benk zitamtia hasara
  2. M

    Naomba Msaada wa kuelekezwa mambo haya kuhusu UDEMY

    Uwe unarudisha mrejesho kama umefanikiwa
  3. M

    Naomba kujua debe 1 ni sawa na kilo ngapi?

    Haujamelekeza kuwa total weight inabidi atoe na uzito wa debe tupu jumlisha uzito wa ufuko wa sarufeti ili apate uzito halisi wa kitu alicho pima.
  4. M

    Naomba kujua debe 1 ni sawa na kilo ngapi?

    Yes, mkuu, pia namna ulivyo andaliwa wakati wa kuvuna, kisa sehemu huwa wanaanika chini, vumbi+mchanga huwa zinaongeza uzito
  5. M

    Naomba kujua debe 1 ni sawa na kilo ngapi?

    Kama ni mahindi 17_20kg Mchele20+kg Ufuta13_15kg Mpunga17+kg Mbaazi20+kg
  6. M

    Shule binafsi kulazimisha darasa la 4&7 kulala bweni

    Kwahiyo wote wakihamisha hizo shule zitabaki na ngedere?
  7. M

    Naomba Msaada wa kuelekezwa mambo haya kuhusu UDEMY

    Tumia hiyo link utapata course zote free https://www.discudemy.com/complete-step-by-step-kotlin-guide
  8. M

    APP ya kununua na kuuza wazo la biashara!

    Ungeweka link ya APP maana app zenye jina bongo ni nyingi huko playstore
  9. M

    Naweza pata mkopo kwa kutumia vyeti vyangu?

    Huo ndio ukweli kama huna biashara usikope maana utajiongezea stress tu
  10. M

    Plot4Sale Shamba la Korosho (Ekari 13) linauzwa-Manyoni

    Mkuu ungepa hata jina la benk linalo toa mkopo kwa dhamana ya shamba maana mabenk mengine dah acha tu
  11. M

    Dunia Duara: Kofi kudhaminiwa na Diamond?

    Huo hapo mkwanja wake
  12. M

    Kitendo cha kuwakatalia Wakurugenzi wa Kenya na kuruhusu wengine ni ubaguzi

    Kwani kenya kuna wakurugezi wangapi Watanzania? Wakenya ni fisi wapole wamejaa zarau na upumbafu tu ndio maana wananyimwa vibali.
Back
Top Bottom