Msaada: Namna ya kulipia page ya kibiashara Facebook na Instagram

Msaada: Namna ya kulipia page ya kibiashara Facebook na Instagram

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,711
Reaction score
8,765
Kama topic inavyojieleza

Nimefungua pages za kutangaza biashara yangu Facebook na Instagram

Sasa Ili iwe na viewers wengi ambao watalike hizo page natakiwa kuzilipia kulingana na bajeti yangu

Sasa mwenye ufahamu wa namna ya kulipia manake nimeona wanataka kulipia kupitia Credit card/debit Card Visa

So sijajua napata wapi hizo kadi na mchakato mzima wa kulipia unakuwaje naomba maelekezo kwa anaefahamu au mwenye uzoefu na masuala ya pages mtandaoni.

Alamsik
 
Tengeneza mastercard account kwenye mpesa au airtel money, na uweke salio baada hapo promote pages zako kwa kujaza taarifa za virtual card ya mastercard uliyotumiwa...ahsante
Asante mkuu
 
Wakuu nilifanikiwa kutengeneza mastercard nikaweka hela kidogo kama kianzio,nikalipia facebook ,ile hela waliichukua lakini wakairudisha kwenye akaunti yangu, ila matangazo yangu kule kwenye page yamepata mwitikio nzuri na naendelea kupromote page na post mbalimbali

Sasa kwa wazoefu hii ya kurudishiwa pesa na matangazo kuendelea kupromotiwa imekaaje?
 
KM ULITUMIA VODACOM MASTERCARD AWAKATI MOJA KWA MOJA WATATUMA SMS KUVERFY KM ACCOUNT IPO ACTIVE NA IWE NA KUANZIA DOLLAR MOJA ILA TANGAZO LIKIFIKA MWISHO/BAJETI YAKO ULIYOWEKA NDO WATAKATA ZOTE AS I KNOW NGJA WAJE MAFUNDI ZAIDI
 
ata dollar moja wanakubali lkn almost ukifungua new account unawekewa dollar 2 as default kwa new account so inadepend na bei ya dollar lakn kwa kawaida wanakata 24150 ivi
Sorry mkuu unaweza nifundisha how to create account nina line ya voda na how to advartise hasa ig.
 
ata dollar moja wanakubali lkn almost ukifungua new account unawekewa dollar 2 as default kwa new account so inadepend na bei ya dollar lakn kwa kawaida wanakata 24150 ivi
Nami nimepewa deni hili kwa matangazo yangu yote niliyopublish
 
Sorry mkuu unaweza nifundisha how to create account nina line ya voda na how to advartise hasa ig.
Fungua menu ya m-pesa utakuta sehemu ya mastercard then kuna kipengele cha kutengeneza mastercard utaingiza namba yako ya siri ya m-pesa ukishasend utatumiwa link yenye information ya card yako ukishazipata utaweka salio m-pesa then nenda mtandao husika ukifika kipengele cha kufanya payment utaona sehemu ya kuandika details zilizopo kwenye card yako ambazo ni name,card number,expire date na CVV ukishajaza utatuma Ili waverify ikiwa verified basi hapo matangazo yako yataanza kupostiwa na baada ya muda utatajiwa bill yako unayotakiwa kulipa
 
Fungua menu ya m-pesa utakuta sehemu ya mastercard then kuna kipengele cha kutengeneza mastercard utaingiza namba yako ya siri ya m-pesa ukishasend utatumiwa link yenye information ya card yako ukishazipata utaweka salio m-pesa then nenda mtandao husika ukifika kipengele cha kufanya payment utaona sehemu ya kuandika details zilizopo kwenye card yako ambazo ni name,card number,expire date na CVV ukishajaza utatuma Ili waverify ikiwa verified basi hapo matangazo yako yataanza kupostiwa na baada ya muda utatajiwa bill yako unayotakiwa kulipa

Nami nimepewa deni hili kwa matangazo yangu yote niliyopublish
uliboost au ulicreate ad kupitia ads manager??
 
Mimi nina tatizo la account ya Insta haikubali ads kwa sababu ya facebook page inakataa nifanyeje??
 
Tengeneza mastercard account kwenye mpesa au airtel money, na uweke salio baada hapo promote pages zako kwa kujaza taarifa za virtual card ya mastercard uliyotumiwa...ahsante
Tufundishane nawezaje pata mastercard TIGOPESA na airtel money
 
Back
Top Bottom