Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 4,838
- 8,664
serikali ina uwezo wa kumnyima kibali cha kazi raia yoyote wa nje. uwezo huo inao.Hebu nisaidieni...
Katika DIPLOMASIA Serikali zina uwezo wa KUMKATAA balozi mkaazi wa nchi nyingine kwa SABABU MBALIMBALI....
Je Serikali haina MANDATE kisheria kumnyima MTU VIBALI vya kazi ima kwa mtumishi mgeni wa kawaida hadi wakuu wa MAKAMPUNI makubwa?!!!