Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 930
- 1,408
Makato ya bodi ya mikopo elimu ya juu umepandisha, malimbikizo ya mshahara hujatulipa.
Msemakweli mpenzi wa Mungu nakuchukia sana
Msemakweli mpenzi wa Mungu nakuchukia sana
We nae...kasema ivi mchague kwanza ili akurekebishie mshahara wako!!Makato ya bodi ya mikopo elimu ya juu umepandisha, malimbikizo ya mshahara hujatulipa.
Msemakweli mpenzi wa Mungu nakuchukia sana
Pole sana serikali ya wanyonge hii.Makato ya bodi ya mikopo elimu ya juu umepandisha, malimbikizo ya mshahara hujatulipa.
Msemakweli mpenzi wa Mungu nakuchukia sana
Hii serikali sikivu kwa lipi?Waelezeni ukweli hata kama ni mchungu pasipo kuwapa sifa za uongo vinginevyo haya mambo hayataisha.Makato haya yanahitaji kuwa revisited. Hata hii sheria iliyopitishwa inayohusu mikopo hii ya elimu ya juu ina mapungufu mengi sana ambayo yote yanahitaji kufanyiwa marekebisho.
Watu wengi wanakatwa hela nyingi sana kiasi kwamba inaonekana kama hii mikopo imekuwa ya biashara na sio ya elimu. Ni kama waliopata hii mikopo wamezalisha hela nyingi sana wakati wengi wana ajira zinazowawezesha kujikimu tu maisha yao ya kila siku huku wakisongwa na majukumu mengi ya familia za kitanzania zilizo very extended families.
Kuna wakati ukitafakari sana unaona kama ni wachache wamelimbikizwa malipo ya wengi ambao kwa sasa hawana ajira na hawajaanza kurudisha hii mikopo. Serikali haina hela au maamuzi yameshafanyika?
Naamini serikali sikivu inaweza kusikiliza kilio hiki cha watanzania wengi na kukifanyia kazi.
Sasa sisi ambao deni lilikuwa 16m sasa hivi ni 20+m.Hivi hili deni nitakuja kulimaliza? Nilihitimu 2017 likiwa 12 M. Nimeomba statement mwaka huu baada ya kujiajiri ili nianze kulipa nikakuta limefikia 16M.
Na madaraja hayajapanda kwa wale wa 2015 miaka 5 imepita juu, toka JK..Makato ya bodi ya mikopo elimu ya juu umepandisha, malimbikizo ya mshahara hujatulipa.
Msemakweli mpenzi wa Mungu nakuchukia sana