I think kwa karne hii iphone ndio simu bora zaid kuwah kutengenezwa, ni little more expensive, ila ka una iwezo mzee we chukua tu, na hautokaa ujutie kununua hii sim mzee..
Watunga sera walio wengi pamoja na watekelezaji wao katika ngazi ya taifa wengi wao ni watoto wa wakubwa hivo.sehemu kubwa ya elimu yao wamepatia nje ya nchi, sasa wana- force ku-attain rapid development kwa ku- force utekelezaji wa sera za magharibi uku kwetu bila kufikiria utofauti wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.