OPERATION ENTEBBE
Senior Member
- Feb 13, 2017
- 120
- 73
Koleta Makuwa
Sports Lady!
Sports Lady!
Expreeeeees Africaaa
Hatari sana mkuu hadi kumi na nusu daah basi tu
Huyohuyo mmojaHapo sijaelewa kwani sogy dogy na anzleim ngaiza wapo tofauti si huyohuyo mtu mmoja
Naam lakini tatizo akaanza kuwepo mtangazaji mara aanze kuruhusu simu toka wasikilizaji hapo ndipo hamu iliniishia tofauti na awali ilikuwa ni ngoma juu juu ya ngoma.Nadhani hadi Leo kipindi kipo on
As awali alikuwa na maliz na list yake tu dah na jamaa alikuwa na mpangilio mzuri sana wa ngoma za congo aiseeNikweli mkuu
inapunguza ladha bana mm mwenyewe kwa bahati sana ndo naskilizaga hamu yote imeisha asee
maa yupo clouds saizWatangazaji walikuwa poa fred waaaa yupo yupo saa hz
hv huyu george si ndye aliyezaa na mange kimambidah! ebhana George Njokopa namkbali sana jamaa yko fiti kiuchambuzi na ana vocal nzuri,level yake sio tz n worldwide
mzee wa nyimbo za kidosiKAMKURU, ALISHAFARIKI,
mh! sjui mkuuhv huyu george si ndye aliyezaa na mange kimambi
Kuna huyu pia.Ni kweli KISS FM walikuwa na full package ya watangazaji, jamaa walikuwa wako poa na ulikuwa huboreki kusikiliza.