Naomba kujua ubora wa simu za iPhone

Naomba kujua ubora wa simu za iPhone

i phone ni simu za watu wenye kipato kikubwa..

lakini kwa mtu ambaye jobless, nyumba umepanga, gari huna, biashara huna ya kueleweka.. kwa mwezi kipato chako less than a milioni..

achana na ma i phone.. tumia tecno hela zinazobaki wekeza.. wekeza na wekeza...

ni ushauri tu..

maana nakutana na mdada au mkaka ana i phone ya laki 7 au milioni ananiomba kazi au mchongo mdogo sana huwa nashangaa sana
Kwani kila mwenye simu ghali amenunua kwa pesa yake?
 
Mimi iphone nazitambua ya kuwa ni simu ngumu saana, kuna mtu ana iphone 4 tangu miaka na miaka na inapiga kazi vibaya sana, hajawahi badili chochote kile. Simu mpaka sasa haimjui fundi, sio wa hardware wala software
 
I think kwa karne hii iphone ndio simu bora zaid kuwah kutengenezwa, ni little more expensive, ila ka una iwezo mzee we chukua tu, na hautokaa ujutie kununua hii sim mzee..
 
Back
Top Bottom