Super Don
JF-Expert Member
- Dec 10, 2016
- 1,978
- 1,784
Hiyo bikra unaitoa wapimambo ya kupanda kwenye paa tena? nije nitoke bikra yangu bure kisa gb za bure hapana
Hiyo bikra unaitoa wapimambo ya kupanda kwenye paa tena? nije nitoke bikra yangu bure kisa gb za bure hapana
Ushahidi wa hoja yangu ni huo..... angalia network bar hakuna kitu kabisaMambo vipi wana jf...
Nimeamua kuwa mzalendo kwa kusapot kampuni mama ya simu TTCL...
Nataka kutumia lain zao za simu kwa data na voice
Sasa swali langu kwao ni kwamba waniambie niamie mtaa gani hapa dar es salaam ambako naweza kuenjoy 4G yao vizuri....
Kwa sasa naishi goba mwisho na cha ajabu nimeweka line yao hata network bar moja hakuna...
Nikipanda juu ya nyumba kinaongezeka kimoja then nikishuka kinakata.
Niko tayari kuingia gharama za kuhama endapo wataniambia nikiamia mtaa flan au sehemu flan huduma zao nitazipata vizuri
Siwezi kuuliza hili swali kwa mitandao mingine kwa sababu kila mtu anajua 4g zao zinavyopatikana sehemu kubwa dar es salaam
Nawasilisha
Sasa kama bado kwa mkoa wa dar es saalam what about huko iringa? Ndio maana nilisema walitakiwa kuweka plan ya kuchukua mikoa yote mikubwa kwanza.... wakifunga strong 4g mikoa 5 tu watakuwa vizuri ila ndio hivyo tena
Ndio maana nimewaomba ushauri waniambie nihamie mtaa gani au mkoa gani ili na mm nione huo uzuri wa huduma zao.... kwasasa niko dar mtaa wa goba karibu na makongo na hakuna network kabisa na nimeambatanisha na pichaSUBIRA YAVUTA HERI. TTCL WAKO VIZURI SANA KWA HUDUMA!
mambo ya kupanda kwenye paa tena? nije nitoke bikra yangu bure kisa gb za bure hapana


