Recent content by Mkomi

  1. M

    Timu gani ya mpira unaichukia sana? Na kwa nini?

    Sipendi kabisa Simba na Yanga
  2. M

    Mwenzenu sipendi sherehe kabisa. Je, nipo sahihi au nakosea?

    Wewe naona ulijitahidi hadi joho ulivaa? Binafsi hata joho sikujisumbua sipendi kbs sherehe mbaya zaidi sio sherehe tu hata mziki hasa Bongoflava
  3. M

    Kumbe walimu nanyi mnapenda starehe?

    Mwalimu huoa na kuolewa Mwanafunzi haoi na kuolewa Mwalimu hupokea mshahara Mwanafunzi hupewa pesa ya vibumunda na mzazi Mwalimu havai sare Mwanafunzi huvaa sare
  4. M

    Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

    Hii dawa inaoneka ipo vizuri mimi pia ilinisaidia sana saivi nagonga menyu za wahindi kama kawaida
  5. M

    Mvua kubwa inanyesha Dar es Salaam

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  6. M

    Ali Kiba ashinda tuzo za NAFCA na The Nol

    Hongera sana Alikiba ongeza juhudi zaidi.... Napenda sana mziki wenu wewe pamoja na Diamond ni lulu ya kizazi hiki cha mziki
  7. M

    Namna ya kulima mbogamboga bila madawa ya viwandani (chemicals) kwa ajiri ya soko la Ulaya

    Lakini dhana ya kilimo hai haiishi kwenye hiyo njia ya kufukuza wadudu tu... Kunamambo mengi ya kuangalia kama historia ya eneo unalolima je halijawa polluted? Maji n. k
  8. M

    Kinywaji gani hukupa raha???

    Busara kinywaji kizuri sanaaa
  9. M

    Hili tunda linaitwaje?

    Mapindigesi
  10. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Temeke nije buhigwe kigoma secondary
  11. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kyela mjini mkoa wa mbeya nije Morogoro Manispaa idara ya sekondari
Back
Top Bottom