jenniec
Member
- Jun 11, 2016
- 76
- 41
Sina uzungu wowoshe ng'wiangu, imi ni mshambaa wa Maghamba coast. Hee iwe u mshambaa wa hii?Hetikuonga ila titakusifia iwe kuti umzungu..
Sina uzungu wowoshe ng'wiangu, imi ni mshambaa wa Maghamba coast. Hee iwe u mshambaa wa hii?Hetikuonga ila titakusifia iwe kuti umzungu..
imi si mshambaa mia nateia kuonga kishambaa kidogo...Sina uzungu wowoshe ng'wiangu, imi ni mshambaa wa Maghamba coast. Hee iwe u mshambaa wa hii?
Hii ni kwa kwetu nyanda za juu. Hili tunda karibu maeneo yote ya nchi lina jina lake.fyulisi
Ya kwetu Nyasa ni machungu balaa bovu.Niyakipekee sana matunda hayo na ndio maana majina yake ni utata
View attachment 384673 View attachment 384673 wakuu msaada,eti hili tunda linaitwaje kwa kiswahili na kiingereza?nilishawahi kulikuta mikoa ya nyanda za juu kusini,hasa kila eneo kukawa na jina lake tofauti,mwenye utaalamu naomba anisaidie nijue jina lake.
yanaitwa mapindigesi
Sipiksikwa kichaga pichesi
SipiksiWachag wanaita piches
Kwa kiingereza ni peach. Tangu utoto nalifahamu kwa jina la tipisi. Jina hili linafahamika sana Arusha.View attachment 384673 View attachment 384673 wakuu msaada,eti hili tunda linaitwaje kwa kiswahili na kiingereza?nilishawahi kulikuta mikoa ya nyanda za juu kusini,hasa kila eneo kukawa na jina lake tofauti,mwenye utaalamu naomba anisaidie nijue jina lake.