MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,478
- 20,390
Daniel Wellington is the Mofo,sijui kwann watu hata hatuzimmeshen
Hahahah dah unanitonesha kidonda..... Ila tunakuja na kitu moja matata sanaaaPole sana Kat.ph imepigwa chini na FBI
Zenith Christopher Columbus ila ndio hivyo tena sina uwezo nimeishia tu kwenye Patek Phelippe
Nilipewa zawadi mara ya kwanza kabisa kwenye kipaimara ila sikuitumia nikaja itumia nikiwa na akili ,Eeeh wale ni balaa aisee.
Mimi partition zao za ndani tu kwenye sekunde na dakika wananiachaga hoi.
Nilipewa zawadi mara ya kwanza kabisa kwenye kipaimara ila sikuitumia nikaja itumia nikiwa na akili ,
Hahahahaha ,hiyo naongelea Patek Philippe mkuu ndio nilipewa zawadi bei zake sio mbaya sanaHaaahaaa bei mbaya zile kitu.
Hahahahaha ,hiyo naongelea Patek mkuu ndio nilipewa zawadi bei zake sio mbaya
Hiyo Zenith Christopher Columbus Hurricane Grand hata mshua na kuhustle kwake hana
Hahahaha bora hiyo mkuu unaweza ukajinyima badala ya kununua Mark X unaamua kununua saaHaaahaaaa anko mimi nimejisemea kabisa siyo lazima kila kitu uwe nacho,
Saa nyingine unavishangaa tu halafu unachapa rapa.
Kuna moja hivi ya Zenith niliona ina Pink Gold inauzwa 23300 USD nikacheka kichizi.
Hahahaha bora hiyo mkuu unaweza ukajinyima badala ya kununua Mark X unaamua kununua saa
Sasa balaa la hiyo Hurricane Grand Voyage || unaweza ukalia
Ni $ 260,000 hii si bei ya Ferrari kabisa ?
Acha tu pesa nzuri bana dah
Hahahahahaha labda wajue ndio unaweza logwa ukiaangalia kwa haraka na mikanda yake ya ngozi unaweza kuona ni saa ya kawaida tu ,ujue tumetofautiana kwenye dunia hii kuna watu wanazo kama vile boxer ,ila poa tu huko kwa Mungu nikifika nitamuuliza sana maswali mengiKudadeki kitu 260,000 USD.
Halafu watu wananunua zinakua kibao ndani.
Sema ni moja ya investment, maana ni madini yale hayashuki thamani, siku ukiamua unauza tu.
Ila ukinunua hiyo hapa bongo lazima wakuloge.
Hahahahahaha labda wajue ndio unaweza logwa ukiaangalia kwa haraka na mikanda yake ya ngozi unaweza kuona ni saa ya kawaida tu ,ujue tumetifautiana kwenye dunia hii kuna watu wanazo kama vile boxer ,ila poa tu huko kwa Mungu nikifika nitamuuliza sana maswali mengi
Bei gan hyo rado??Rolex na Rado..siwez kutoka bila kuvaa mojawapo..when am wearing one of them..for sure i feel my self