Recent content by mjusi kafiri

  1. M

    JamiiForums Tanzania Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

    Wa kwangu ana kemia S. Biology E Geography D je matokeo hayo anaweza kusoma kwa D hiyo moja shahada ?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wasanii wangu bora wa reggae hawa hapa

    Steel purse na third world .Black uhuru
  3. M

    JamiiForums Tanzania Huyu Polisi wa zamani Marehemu Mkama Sharp alikuwa na Kipaji gani ambacho Polisi wengi wa sasa hawana?

    Kwa taarifa tu mtoto wake yupo ni askari ana cheo inspecta
  4. M

    JamiiForums Tanzania Fahamu maana ya uchawi...

    Ni kweli ni mambo ya imani lakini uchawi upo na wachawi wapo na wazee na vijana wasomi kabisa wapo
  5. M

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif ajiunge na CHADEMA, hana cha kupoteza

    Ni kweli kina bwaashee yaani mchaga na mpemba wanaushilikiano mkubwa sana ktk utafutaji lakini kila mmoja akiwa dukani kwake
  6. M

    JamiiForums Tanzania Maalim Seif ajiunge na CHADEMA, hana cha kupoteza

    Kwa taarifa tu mpemba na mchaga ktk mambo ya pesa wako pamoja sana na wanaitana bwaashee na wanaushilikiano mkubwa sana kuliko ktk kupata mali au pesa popote au mazingira yoyote ndio maana kona zote wapo ktk utafutaji bwaasheeeeeeee upo
  7. M

    JamiiForums Tanzania Utamu wa mabasi ya mwendokasi

    Sasa buji nakusubiri ktk hiki kitaa unachopenda kupita utanilipia tu hahahahhhh
  8. M

    JamiiForums Tanzania Iko wapi sukari iliyoagizwa serikali?

    Hapa magomeni mwebechai sukari leo tumenunua kilo kwa 2800 hatareel 4, post: 16414740, member: 346519"]WANA JF HESHIMA KWENU WOTE Kwa muda sasa kumekuwa na tatizo la sukari kutopatikana maeneo mengi kutokana uamuzi wa serikali kuzuia vibali vya kuagiza sukari bila kujipanga. Mwenzi uliopita...
  9. M

    JamiiForums Tanzania TCRA, tujuze kwanini Azam TV haiwekwi kwenye ving'amuzi kama Local channel

    Hata sie wa EASY TV ambazo zinabaki hewani TBC na CHANNEL 10 hii sheria cjui inasemaje
  10. M

    JamiiForums Tanzania Unajua nini kuhusu mnyama aitwae "Kakakuona"?

    Bro mshana hebu tusaidie hii makitu
  11. M

    JamiiForums Tanzania Uagadou: Chuo kikuu pekee cha ushirikina Africa

    Bro Mshana katika ubora wake
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Pumu (Bronchial Asthma): Chanzo, dalili na tiba

    Bi faiza...nimeanza kuumpa bint yangu hiyo tiba ya pumu kama ulivyo elekeza ya karafuu leo ni siku ya 5 na alhamdulilah leo ameanza kwenda shule. inshaallah iwe tiba kwa bint yangu na wengine pia amin
  13. M

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Pumu (Bronchial Asthma): Chanzo, dalili na tiba

    Shukran jazakallahu kher
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ndondocha na utajiri

    bro mshana ktk ubora wake
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kijiji hatari cha Wachawi Tanzania

    bro mshana habari ndo hizo ongeza bonge la nyama hapo
Back
Top Bottom