Iko wapi sukari iliyoagizwa serikali?

Iko wapi sukari iliyoagizwa serikali?

Kusubiri sukari ya bure ni sawa kusubiri meli airport
 
Duh CCM MBELE KWA MBELE tutaisoma namba wote
Tumewachagua wenyewe, tumewataka wenyewe, Acha tuisome namba eeeeeh shida hizi mbele kwa mbeleeeee. Daaah kama namuona marhum Komba akichomekea vibwagizo hapo
 
Eeeh! Tuta eshimiana to asaiv ni ubepali!! to wala si ujamaa tena
Hii serikali ya mwendo kasi .Dereva mwenyewe ameshaanza kufeli huko mbeleni sijui itakuwaje sukari tuu wameshindwa hivyo wengine?
 
Na bado, kuna waziri nani huyu sijui nae katia mkwara kuzuia nguo za nje kuanzia January mwakani. Najenga picha itakuwaje ikiwa upungufu wa nguo utaanza pia.... #SerikaliYaMwendokasi.
WATAPENDEZA WATAKAOKUWANA PESA ZA KUTOSHA NA SULUWARI ZAO ZA VITENGE VYA URAFIKI ILA PICHA YA SISI TULIOZOEA MITUMBA YA BUKU BUKU SIJAIPATA KINACHOTAKIWA NI MAANDALIZI NUNUA SASA NA USITUPE NGUO MAFUNDI CHARAHANI WATATUZIBIAZIBIA NA SISI TUTAPENDEZA TU.
 
Viongozi wa nchi hii ni kama vile wanaishi nje ya nchi, wanachojua wao ni kvtoa matamko tu lakini namna ya kuhakikisha hayo matamko yanatekelezeka ni ziro kabisa. Sasa ndio tujiulize viongozi wa namna hii wenye kutaka tu sifa ambao wanatoa matamko kwa mbwembwe mbele ya vyombo vya habari lakini hakuna lolote, inaonyesha ni kwa kiasi gani wanatudanganya na wanatudharau sisi wananchi
 
Na bado, kuna waziri nani huyu sijui nae katia mkwara kuzuia nguo za nje kuanzia January mwakani. Najenga picha itakuwaje ikiwa upungufu wa nguo utaanza pia.... #SerikaliYaMwendokasi.

Subhana-allahu! Zikishazuiliwa nguo za nje tutavaa khanga na shuka kama wamasai au? Maana hivyo viwanda vya nguo vya hapa kwetu navijua vyote kwa majina, vinatengeneza khanga, 21Cebtury Textile Mills, NIDA Textiles na kama khanga hazitutoshi tutavaa Mali ya Abdula kutoka Mombasa kwa hisani ya serikali tehe tehe tehe!

Kuna wachina pale External kwenye Mlima Kilimanjaro feki wanatengeneza jeans ukivaa Ubungo ukifika Kariakoo kaa vizuri, usikute tezi dume linachungulia nje...shukrani kwa uimara wa kofuli
 
Ahadi ya serikali ya viwanda sijui imefia wapi kama kuisoma namba tutaisoma wote
Subhana-allahu! Zikishazuiliwa nguo za nje tutavaa khanga na shuka kama wamasai au? Maana hivyo viwanda vya nguo vya hapa kwetu navijua vyote kwa majina, vinatengeneza khanga, 21Cebtury Textile Mills, NIDA Textiles na kama khanga hazitutoshi tutavaa Mali ya Abdula kutoka Mombasa kwa hisani ya serikali tehe tehe tehe!

Kuna wachina pale External kwenye Mlima Kilimanjaro feki wanatengeneza jeans ukivaa Ubungo ukifika Kariakoo kaa vizuri, usikute tezi dume linachungulia nje...shukrani kwa uimara wa kofuli
 
Hii serikali ya mwendo kasi .Dereva mwenyewe ameshaanza kufeli huko mbeleni sijui itakuwaje sukari tuu wameshindwa hivyo wengine?
Biashara zinakufa yan shida tupu alaf nchi ya viwanda aya tunasubil ivyo viwanda
 
Ni mwendo wa kauli za kukurupuka najiuliza kulikuwa na haja Waziri mkuu kueleza kitu ambacho hakipo ?au hizo tani za sukari zimekwama bandarini?
Viongozi wa nchi hii ni kama vile wanaishi nje ya nchi, wanachojua wao ni kvtoa matamko tu lakini namna ya kuhakikisha hayo matamko yanatekelezeka ni ziro kabisa. Sasa ndio tujiulize viongozi wa namna hii wenye kutaka tu sifa ambao wanatoa matamko kwa mbwembwe mbele ya vyombo vya habari lakini hakuna lolote, inaonyesha ni kwa kiasi gani wanatudanganya na wanatudharau sisi wananchi
 
Hapa magomeni mwebechai sukari leo tumenunua kilo kwa 2800 hatareel 4, post: 16414740, member: 346519"]WANA JF HESHIMA KWENU WOTE

Kwa muda sasa kumekuwa na tatizo la sukari kutopatikana maeneo mengi kutokana uamuzi wa serikali kuzuia vibali vya kuagiza sukari bila kujipanga.

Mwenzi uliopita Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa tani 11,957 ambazo serikali imeagiza zilikuwa zimeshawasili na kwamba hiyo sukari ingeuzwa kwa bei elekezi kilo 1800. Kuhusu tani zingine 240000 za sukari zingewasili ijumaa mei 13 na hadi zitoke bandarini ingekuwa jumapili na usambazaji ungefanya mei 16.

Pia tuliambiwa tani 20000 zingewasili mwisho wa mwenzi uliopita au mwanzoni mwenzi huu. Mpaka sasa hakuna dalili yoyote ya kupatikana sukari kwa maeneo mengi nchini.Uamuzi wa kuzuia sukari kuagizwa nchi ulifanywa kwa kukurupuka bila kujipanga.

Kwenye kujadili hili swala la sukari tunatakiwa kuweka itikadi za vyama pembeni ni swala la muhimu sana watu wanateseka kutokana watu kufanya maamuzi ya kukurupuka bila kujipanga.

Tunataka kujua Sukari iliyoagizwa na Serikali iko wapi?[/QUOTE]
Hapa mwembe
 
Hali ni mbaya sana kila mahali juzi kampuni inayolipa kodi kubwa kuliko kampuni zote TBL walikuwa wanalalamika mauzo yao kushuka 40%
Biashara zinakufa yan shida tupu alaf nchi ya viwanda aya tunasubil ivyo viwanda
 
Hapa magomeni mwebechai sukari leo tumenunua kilo kwa 2800 hatareel 4, post: 16414740, member: 346519"]WANA JF HESHIMA KWENU WOTE

Kwa muda sasa kumekuwa na tatizo la sukari kutopatikana maeneo mengi kutokana uamuzi wa serikali kuzuia vibali vya kuagiza sukari bila kujipanga.

Mwenzi uliopita Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa tani 11,957 ambazo serikali imeagiza zilikuwa zimeshawasili na kwamba hiyo sukari ingeuzwa kwa bei elekezi kilo 1800. Kuhusu tani zingine 240000 za sukari zingewasili ijumaa mei 13 na hadi zitoke bandarini ingekuwa jumapili na usambazaji ungefanya mei 16.

Pia tuliambiwa tani 20000 zingewasili mwisho wa mwenzi uliopita au mwanzoni mwenzi huu. Mpaka sasa hakuna dalili yoyote ya kupatikana sukari kwa maeneo mengi nchini.Uamuzi wa kuzuia sukari kuagizwa nchi ulifanywa kwa kukurupuka bila kujipanga.

Kwenye kujadili hili swala la sukari tunatakiwa kuweka itikadi za vyama pembeni ni swala la muhimu sana watu wanateseka kutokana watu kufanya maamuzi ya kukurupuka bila kujipanga.

Tunataka kujua Sukari iliyoagizwa na Serikali iko wapi?
Hapa mwembe[/QUOTE]
Arusha sukari kilo 3500 bado hapatikani
 
WANA JF HESHIMA KWENU WOTE

Kwa muda sasa kumekuwa na tatizo la sukari kutopatikana maeneo mengi kutokana uamuzi wa serikali kuzuia vibali vya kuagiza sukari bila kujipanga.

Mwenzi uliopita Waziri Mkuu Kassim Majaliwa alitoa taarifa kwa vyombo vya habari kuwa tani 11,957 ambazo serikali imeagiza zilikuwa zimeshawasili na kwamba hiyo sukari ingeuzwa kwa bei elekezi kilo 1800. Kuhusu tani zingine 240000 za sukari zingewasili ijumaa mei 13 na hadi zitoke bandarini ingekuwa jumapili na usambazaji ungefanya mei 16.

Pia tuliambiwa tani 20000 zingewasili mwisho wa mwenzi uliopita au mwanzoni mwenzi huu. Mpaka sasa hakuna dalili yoyote ya kupatikana sukari kwa maeneo mengi nchini.Uamuzi wa kuzuia sukari kuagizwa nchi ulifanywa kwa kukurupuka bila kujipanga.

Kwenye kujadili hili swala la sukari tunatakiwa kuweka itikadi za vyama pembeni ni swala la muhimu sana watu wanateseka kutokana watu kufanya maamuzi ya kukurupuka bila kujipanga.

Tunataka kujua Sukari iliyoagizwa na Serikali iko wapi?
Hili bomu la sukari halijakaa vizuri. Mbwembwe zooote za Majaliwa na kutuaminisha koote kwamba hakutakuwa na shida ya sukari na hili tatizo litakwisha kabla ya Mfungo zimeishia hewani!
 
Back
Top Bottom