Aisee..!! Yani ana uwezo wa kusoma degree ya ualimu lakini hana uwezo wa kusoma degree ya uhandisi?Hawezi, labda akasome shahada ya ualimu, au akasome diploma ya uhandisi
Kuna mzazi wa huyu mwanafunzi namba 535 alitaka kusoma shahada ya uandisi, nimeona kwa vigezo vya sasa hana sifa.
Vipi kuna njia gani nyingine anaweza toboa kwa upande wa kusoma shahada?
View attachment 1859836
Inachanganya hii.Aisee..!! Yani ana uwezo wa kusoma degree ya ualimu lakini hana uwezo wa kusoma degree ya uhandisi?
Yah! Kusoma degree ya uhandisi lazima awe na D mbili, lakin kwa ualimu ata akiwa na D moja anapataAisee..!! Yani ana uwezo wa kusoma degree ya ualimu lakini hana uwezo wa kusoma degree ya uhandisi?
Ndio maan nipo apa kukuelewesha, wapi hujaelewa mkuuInachanganya hii.
Nimeelewa sasa, kwahiyo ana sifa za kuomba degree ya Ualimu? Niliogopa kumwombea mkopo nikijua hata Ualimu mpaka uwe na principle pass mbili na ziwe DD.Ndio maan nipo apa kukuelewesha, wapi hujaelewa mkuu
Kwani TCU inahusika na nni kwenye kuomba vyuo mwaka huu ukiachana na kitabu Chao cha mwongozo?Ni lipi mwombaji anatakiwa kuanza nalo Kati ya kuomba vyuo vitatu then kifuate nini Kati ya TCU na HESLB,? Yaani mtiririko tuanzeje Kati ya Vyuo, TCU na HESLB.
Vyuo vingi qualification ya kujiunga na kozi ni point 4 ambzo ni principle 2 hapo ni hata ukiwa na D MBILI unafanya maombi ila hio kwa waliomaliza form six 2016 kuja hukuKuapply chuo ni lazima uwe na C mbili na kuendelea?,nimeangalia qualifications za guidebook ya TCU nao kila kozi lazima uwe na priciple passes mbili na wakidefine principle pass kama C and above.
Soma guide book yote uielewe.Kuapply chuo ni lazima uwe na C mbili na kuendelea?,nimeangalia qualifications za guidebook ya TCU nao kila kozi lazima uwe na priciple passes mbili na wakidefine principle pass kama C and above.
Wa kwangu ana kemia S. Biology E Geography D je matokeo hayo anaweza kusoma kwa D hiyo moja shahada ?Yah! Kusoma degree ya uhandisi lazima awe na D mbili, lakin kwa ualimu ata akiwa na D moja anapata
Unless kama ataamua kusoma vyuo vya private then iyo degree ya uhandisi anaweza pata, sema ajiandae mfukon
Hakuna kuchelewahaya magrupu ya chuo yanakuwaga na mademu kinoma. ngoja nijiunge
😂😂😂Mmh huku hao watu ni wachache mkuu na waliopo huku wengi wanajuajua tuvitu vitu.
Wacha tusaidie kushare link ya whatsapp.
Japo nimeingia hiyo link nmekuta ni kama kuna members za jf tu 😂😂😂. Ni kama umewapa ndoano vijana wako humu 😂😂
mkuu how do you verification ya vyeti??Hiv ndugu tunaweza kuendelea na maombi wakati tunasubiri verification ya vyeti Rita?
Ndio anayo
Haiwezekani mkuu ufaulu wa chini anahitajika kuwa na point 4 za tcu kwenye masomo mawili. Wakwako ana point 3 ( D=2 na E=1). Fikirieni kumpeleka diploma.Wa kwangu ana kemia S. Biology E Geography D je matokeo hayo anaweza kusoma kwa D hiyo moja shahada ?