Ivi wakristo tumewakosea nini ndugu zetu waislam,mbona mnatuandama ivyo, mara kafiri, mara mfumo kristo,loo, basi nyanja zote za utawala shikilieni tu, kwa maana mlizoshikilia bado mnaona chache. Awali ya yote mkamateni sana elimu, usimwache aende zake.