nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,398
Hiyo ya kisasi nimeshafanyia research sana. Nimekaa sana na wadada wa Kihehe; wenyewe walikuwa wananisimulia kuwa ukimuona muhehe usi mu underestimate. Yaani mnagombana leo..mnaendelea kuchekeana hata miaka miwili...kumbe ugomvi bado uko moyoni; kiasi hata mtu akiamua kumuua mwenzie (which they do) ni ngumu ku trace sababu au kumpata muuaji kwani ni ugomvi wa nusu karne
Kwa ufupi wana vinyongo.
Sasa mimi walivyokuwa wananisimulia walikuwa wana ni alert ikafika muda nikasema wasichana wa Kihehe kwangu basi...maana nina watoto wasije wakaweka kinyongo wakafanya la kufanya kwa wanangu.
Hii tabia si kwa wanawake ni kwa wahehe wote wake kwa waume..wenyewe wanasema wanafata nyayo za Mkwawa...jasiri alojiua.
Kwa ufupi wana vinyongo.
Sasa mimi walivyokuwa wananisimulia walikuwa wana ni alert ikafika muda nikasema wasichana wa Kihehe kwangu basi...maana nina watoto wasije wakaweka kinyongo wakafanya la kufanya kwa wanangu.
Hii tabia si kwa wanawake ni kwa wahehe wote wake kwa waume..wenyewe wanasema wanafata nyayo za Mkwawa...jasiri alojiua.
Nimewasikiza wachangiaji wote,kwanza na declare interest mm ni mnyalu pure from mafinga,alieleza ukweli hapo ni aristolius kuhusu visasi,akishachukia hamnaga msamaha!that true.