daniel don
Member
- Jun 28, 2012
- 43
- 3
Mdogo wangu anapokula na kushiba tumbo lake hujaa gesi ila hapati matatizo yoyote zaidi ya kubeua mara kwa mara na wakati mwingine hulazimika kula kidogo zaidi ili asipate hiyo gesi tumboni..
Wasi wasi wangu lisije likawa tatizo kubwa. Inapomtokea hali hiyo hutumia vidonge vya Magnesium..kiasi kwamba vidonge hivyo vimekuwa vikitumika kila siku kama sehemu ya mlo..ni kipindi kirefu sasa swala la gesi kwake ni kawaida..
Kama hilo ni tatizo dawa gani ni nzuri zaidi kumaliza gesi tumboni.
Wasi wasi wangu lisije likawa tatizo kubwa. Inapomtokea hali hiyo hutumia vidonge vya Magnesium..kiasi kwamba vidonge hivyo vimekuwa vikitumika kila siku kama sehemu ya mlo..ni kipindi kirefu sasa swala la gesi kwake ni kawaida..
Kama hilo ni tatizo dawa gani ni nzuri zaidi kumaliza gesi tumboni.