Wakati unatafuta dawa jaribu kufatilia hali gani au vyakula gani vinamsababishia. Mimi wa kwangu tokea nimejua vitu vinamsumbua mwaka unaenda wa tatu huu tatizo limepungua unaweza dhani amepona ila bado ipo.
Sio kweli. Zipo oven za gas na zina taa ndani. Labda umpe sababu nyingine.
Mfano kwangu mimi changamoto halina moto wa juu, juu inategemea moto uzunguke kutokea chini. Ni changamoto kulitumia kwenye swala la kujua moto kiasi gani, ila kadri unavyotumia umazoea kabisa. Mimi la kwangu...
Malalamiko ni mengi nchi nzima hata mkipewa hapa taarifa hakutakua na msaada. Mtu nyumba yake imeisha ila anashindwa kuhamia kisa umeme. Umeme unaombwa utafikiri unatolewa nchi jirani
Aisee huu uzi wake inaonesha dada alikua desperate DESPERATE na ndoa kiasi kwamba alikua anataka hata abebe mimba ya kufosi ndoa kisa aliona mwanaume anaweza kubadilika last stage. Kama ambavyo hakuelewa ushauri aliopewa kule hata huku hatoelewa ni yeye mwenyewe afanye maamuzi tu.
Kuna njia mbili tu. Kuamua kuiacha ndoa au kuendelea kuvumilia na kuacha kumfatilia mpaka hapo mwenyewe nafsi itakapo msuta. Ukiamua kuvumilia unatakiwa uwe na roho ngumu. Uende kumpa heshima yake kama mume na huduma zote bila kujali ambacho unakijua kuwa anakusaliti. Ukifanikiwa hilo ndoa...
Hizo kesi za kumpa mimba mwanafunzi zimekaaga kimtego sana. Watakachoangalia ni mimba bint anayo, bint ni mwanafunzi au kipindi anapewa mimba alikua mwanafunzi, bint akimtambua aliyempa mimba tu kesi inakua imeisha saa 12 asubuhi. Ubakaji miaka 30.
Ungejaribu kubadilisha hospitali. Ungejaribu pia kupata madaktari wazoefu kwenye maswala ya kina mama na uzazi. Unapotafuta tiba usitosheke na maelezo ya daktari mmoja.
Watu weusi so tricky kuwapodoa sasa ukikuta na sherehe yenye mihemko kama hii basi MUA naye anavurugwa. Angalia harusi nyingi za mihemko bi. Harusi make up huwa haziwakai.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.