Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,696
- 3,472
Natamani kujua dawa ya meno kuuma, mba kichwani na ya kudhibiti maumivu ya tumbo la hedhi (wanapata maumivu sana hawa wenzetu sku zao zile)
Dawa ya kukusaidia kama umejikata au umepata 'ki-ajali' cha kukutoa damu au kidonda.. FANYA HIVI.. kata kipande cha ALOVERA pakaza ule ute wake sehemu uliyojikata au uliyopata kidonda baada ya kuumia..
Matokeo..
Kidonda kitakauka ndani ya dakika mbili, damu itakoma kutoka, hakuna bakteria atasogelea kidonda chenye alovera.. kiufupi unapona ndani ya dakika chache.. sharti tu usikilowanishe kwa maji ndani ya siku mbili hivi..
nitarud na zingine.
Dawa ya kukusaidia kama umejikata au umepata 'ki-ajali' cha kukutoa damu au kidonda.. FANYA HIVI.. kata kipande cha ALOVERA pakaza ule ute wake sehemu uliyojikata au uliyopata kidonda baada ya kuumia..
Matokeo..
Kidonda kitakauka ndani ya dakika mbili, damu itakoma kutoka, hakuna bakteria atasogelea kidonda chenye alovera.. kiufupi unapona ndani ya dakika chache.. sharti tu usikilowanishe kwa maji ndani ya siku mbili hivi..
nitarud na zingine.