Recent content by micqueen

  1. micqueen

    Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

    Asnte Sent using Jamii Forums mobile app
  2. micqueen

    Chuma Ulete: Ni kweli ipo? Ipi dawa ya kuidhibiti?

    Habari, naamini ni wazima anajua dawa ya chuma ulete naomba muongozo nafirisika pesa zangu zinapotea kila siku
  3. micqueen

    Nataka ninunue smartphone

    Itel ni kiboko
  4. micqueen

    ETV waungana na WCB, Clouds mtaomba poo mwaka huu!

    Mtoa mada acha uongo
  5. micqueen

    Sanaa ya kifo

    Muh
  6. micqueen

    Bangi haibagui mtu

    Hili sio gari la miss Tz??
  7. micqueen

    Wanaume waliosoma seminari

    Wahuni mno wanaweza kutembe na binti na mamaye nina kama wawili najua wamefanya hivyo
  8. micqueen

    Ukipata nafasi ya Kuongea na Mama Janeth Magufuli utamwambia nini?

    Namjibia la 2na3 huyu ana msongo wa mawazo muda wote anaumia moyoni hivyo akiwa na watu uwa anajitahidi kuficha ile hali ndo maana anacheka muda wote ili kuonyesha kuwa yuko sawa ila kwa mtu anayejua anaona furaha yake iko mdomoni tu lakin moyoni ana msononeko mkubwa sana
  9. micqueen

    Dada zetu punguzeni kuomba pesa mitandaoni

    Me kuna mtu aliamka anatuma picha kibao na wala cmjui ikabidi nimwambie picha inatosha tuma na hela mpaka leo ajarudia picha zake za uchi
  10. micqueen

    Siwezi kuangalia watu usoni...

    Wanasemaga wachawi ndo hawawezi kuangalia mtu usoni
  11. micqueen

    Mention 1 thing you can't live without

    Hii ni nini
  12. micqueen

    Tuijadili nyimbo ya weusi madaraka ya kulevya

    Kila nikiona kibinda me nadinda
Back
Top Bottom