Namjibia la 2na3 huyu ana msongo wa mawazo muda wote anaumia moyoni hivyo akiwa na watu uwa anajitahidi kuficha ile hali ndo maana anacheka muda wote ili kuonyesha kuwa yuko sawa ila kwa mtu anayejua anaona furaha yake iko mdomoni tu lakin moyoni ana msononeko mkubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.