Siwezi kuangalia watu usoni...

Siwezi kuangalia watu usoni...

mhh ungenipa mie hiyo aibu maana mpaka nikiongea na wanaume huwa wanaangalia wao pembeni sijui kukwepesha jicho kwa yeyote na nahisi inaleta shida pia kwenye baadhi ya mambo. Chaaaaa hakuna lenye uafadhali kila kitu inatakiwa kiasi
 
Kwa kifupi una aibu mkuu,Hilo tatizo nilikua nalo nilipokua under 20yrs,nilivyoanza chuo nkawa naparticipate katika zile seminar presentation,nadhani zilisaidia coz nilijikuta ule mshipa wa aibu umekatika wenyewe.
 
Hivi wana jf hili ni tatizo gani yaani siwezi kabisa kuangalia mtu usoni..
ni kawaida usijar
unaweza kulishinda kwa kujichanganya na kuongea na watu tofauti mara kwa mara
na unapoongea na mtu jifunze kumtazama na mkazie macho utagundua ni watu wachache sana wanaweza kuhimili kutazamwa mda mrefu wao ndo watakuwa wa kwanza kuyakwepesha macho yao
 
Hivi wana jf hili ni tatizo gani yaani siwezi kabisa kuangalia mtu usoni..


Nahisi wewe utakuwa na nguvu za giza tu.....mara nyingi mtu/mchawi anakuwa na haibu sana akiona watu na hapendi kuangalia watu usoni.
 
Me gani waona aibu? Jipe mazoez anza kuzoea kuangalia watu wa karibu yako
Hiyo hutokea kwa watu wa kawaida tu ktk maongezi, hata mimi ninatabia hiyo na wala sioni kama ni tatizo!!
Ila nikiamua kukuomba utamu wala haina shida, mwanzo mwisho nakuangalia usoni...
 
Dah..
Mm pia, ase huwa na shida na hicho kitu..
Mbali zaidi mm ndio huwa nakaziwa sana macho usoni kuliko mm kufanya hvyo..

Alafu mm pia napata shida sana pale ninapomuangalia myu mweusi au ambaye hana mvuto wa sura...
Samahani
 
Jina hlo ni tatizo pia@fukara255 badili jina mkuu ona sasa umekuwa fukara hadi kwenye aibu .
 
umeaarthirika kwa kupenda kuangalia sana chura ww na endelea tu
 
Back
Top Bottom