Mwanamke asiye nduguyo anakuwaje Chuma ulete fafanua tafadhaliMe navyojua chuma ulete ni mwanamke asiye ndugu yako!..labda tusubiri wajuzi
Miss Natafuta kuna mtu anakusingizia huku ...kwani we chuma ulete?Chumaulete ni nijuavyo mimi ni kama vile miss natafuta
Nadhani unanielewa
We subiri utalipata tu kwa style yako hayasimuliki haya!!..Mwanamke asiye nduguyo anakuwaje Chuma ulete fafanua tafadhali
Mambo ya wanaume usiyapeleke kwakeMiss Natafuta kuna mtu anakusingizia huku ...kwani we chuma ulete?
Tushirikishane mkuu we unalielewaje chuma uleteWe subiri utalipata tu kwa style yako hayasimuliki haya!!..
bank zimezindikwa, lakini watu wanachukua hela vilevile,,hivi wale wapemba mihela waliyoimwaga pale ilala wameitoa wapi wakati kule kwao hakuna rasilimali za maana.Kama hao chuma ulete wapo kwanini wasiende bank kuchukua hela tena nyingi . Baadala ya hizo elfu elfu za samaki
PositivityYesu ndie dawa, tena ni bureeee.
Hakuna kitu kama hicho mkuu acha imani hiyo kama ingekuwa ipo mabenki yote yangekuwa hayana hata senti tatu.
.
Tengeneza daftari ya kila unachokitoa, kukipokea n.k hutokuwa na imani hiyo tena utaanza kuwaona ni wapumbavu tu wanaozungumzia chuma ulete.
Hosea 4 : 6Habari, naamini ni wazima anajua dawa ya chuma ulete naomba muongozo nafirisika pesa zangu zinapotea kila siku
zinapotelea wapi? je wewe ni mjasiriamali?Habari, naamini ni wazima anajua dawa ya chuma ulete naomba muongozo nafirisika pesa zangu zinapotea kila siku
Damu ya Yesu huku unatmbana hovyo huyo roho mtakatifu atakulinda vipi?Damu ya yesu ifukie huu upuuzi wote.
Amen!
Mtu anajifanya anategemea roho mtakatifu wakati ndio bingwa wa kufukua mitaro😅 watanzania tu wanafiki sana!Jina la Yesu bila imani ni kazi bure!! Lazima uwe MSAFI kiroho ndiyo umwite Yesu ili akusaidie; wengi tu wachafu no mwili na kiroho; sasa haya mapepo wakati unaomba yanakuzomea tu.