Wajinga ndio waliwao ukiona manyoa jua kaliwa, huyo mama anahitaji kufanyiwa cansering halaka lasivyo atatembea uchi kabisa au akapimwe akili, sura yenyewe ya jumapili hiyo,
Dawa ninayo nitakusaidia, uwe mweupe mapajani cjui unataka umuonyeshe nani wakati unayafunika na nguo, au unataka kutembea uchi nini?? Nakuerekeza dawa chukua nyasi kavu nyingi zichome moto kisha jibabue mapajani halafu itaota ngozi mpya, acha ushamba mtu wangu mngu kakupa hiyo langi, ungezaliwa...
Nape wadau kazidi nitamfananisha na subuffer kama alivyokuwa makamba mzee lakini leo wenye ccm yao kina kikwete, makamba kapigwa kibuti kimya kama maji mtungini, huyu nape kibaraka wa bwana mkubwa atafikia ccm lungu ritashikwa na mwingine nape atabaki mdomo wazi, kwa sasa anajenga na kuongeza...
Kwakeri kama akifufuka nakukuta akina watoto wa wakubwa wanakula nchi hii wanavyotaka anazimia hapoapo jamani, enzi za mwalimu mwenye pesa alikuwa anaiogopa serikali lakini leo nikinyume wizi mtupuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kama vipi mtaje cyo kuchonga tu yawezekana ni wewe ndugu ila unajisemesha!! Au unataka awaambukize kale kaugonjwa ka kwenye radio ndo useme?? Kwanza una uhakika huyo teacher amejiunga na huu mtandao wa jf kwamba atasoma halafu ajilekebishe huna mpya wewe usiharibu kulasa zetu bwana ok??
Unachikisema kinaniingia akilini upande mwingine serikali inakuwa kama inafanya maigizo pengine usikute danganya toto kwa sababu kuuu moja ili waharibu mchakato mzima wa katiba inayoandikwa kwa sasa, Mbili kama mkikumbuka LICHIMOND Ilizuka bungeni kikaanzishwa kikombe Arusha Roliondo Richmond...
Hawa nitawafananisha na africa magaribi kuna mataperi wa hatari kama unabisha ingia netlog hala ujisajili hapo kama ni mwanaume utatongozwa na mabinti wanajiita ni mayatima wanamiliki pesa ambazo ziko nje yanchi nyingie
Kaka usiuize kichwa nchi hii ukikosa kihonda morogoro tafuta mtu akufundishe tu mm mwenyewe mchawi wa hayo makatapila balaa c kama haya hapa chini kaka yote napiga mm naitwa operator wa dunia hata ukitengeneza ya udongo ikiunguluma naoperet tu pole sana nitakusaidia kujua caterpiller machine
kwa nch hii kama hauna mtaji ndugu yangu ni matatizo makubwa sana, kwanza ungesema umesomea nini ili tujue uko upande upi wa elimu yako, pili unahitaji kazi gani kwamaana tunaweza kukuambia twende tukalime kwa mkono nawe hauwezi kulima hebu eleza kidogo ili tujue kwa maana wasomi tupo wengi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.