OTIS
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,251
- 827
Usiwe na shaka na uwezo wa mhe Membe.
Nina amini mazungumzo ya ile kamati iliyoundwa kushughulikia mgogoro huu italeta ufumbuzi sahihi.
Nyota ya TZ kwenye anga za kimataifa itazidi kung'ara
Nasubiri mohamed ali wa monduli aseme jeshi la TZ nalo litaunda kikosi maalum(shame on him).
Nina amini mazungumzo ya ile kamati iliyoundwa kushughulikia mgogoro huu italeta ufumbuzi sahihi.
Nyota ya TZ kwenye anga za kimataifa itazidi kung'ara
Nasubiri mohamed ali wa monduli aseme jeshi la TZ nalo litaunda kikosi maalum(shame on him).