niliambiwa ukiwa unavaa skintait inasaidia lakini sioni hata matokeo
Dawa ninayo nitakusaidia, uwe mweupe mapajani cjui unataka umuonyeshe nani wakati unayafunika na nguo, au unataka kutembea uchi nini?? Nakuerekeza dawa chukua nyasi kavu nyingi zichome moto kisha jibabue mapajani halafu itaota ngozi mpya, acha ushamba mtu wangu mngu kakupa hiyo langi, ungezaliwa kwa wagogo basi au kondoa!!!!!!!!!!!!
Dawa ninayo nitakusaidia, uwe mweupe mapajani cjui unataka umuonyeshe nani wakati unayafunika na nguo, au unataka kutembea uchi nini?? Nakuerekeza dawa chukua nyasi kavu nyingi zichome moto kisha jibabue mapajani halafu itaota ngozi mpya, acha ushamba mtu wangu mngu kakupa hiyo langi, ungezaliwa kwa wagogo basi au kondoa!!!!!!!!!!!!
Huyu kweli mtoto ,umepatia haswaaa.Anaona raha tu kuandika hata kama hana point.Nina hakika upo chini ya miaka 17. Hili sio jibu la mtu mzima na kama wewe ni mtu mzima familia yako ina hasara kubwa.
Dawa ninayo nitakusaidia, uwe mweupe mapajani cjui unataka umuonyeshe nani wakati unayafunika na nguo, au unataka kutembea uchi nini?? Nakuerekeza dawa chukua nyasi kavu nyingi zichome moto kisha jibabue mapajani halafu itaota ngozi mpya, acha ushamba mtu wangu mngu kakupa hiyo langi, ungezaliwa kwa wagogo basi au kondoa!!!!!!!!!!!!
Hujui kuna watu wanavaa vimini na shorts..
Umeangalia na wengine kwao kukoje? Yaweza kuwa ndio maubile yako!
Huo weusi sio kwasababu ya kutemba ni FUNGUS hizo, tafuta dawa yake!!
naona unatengeneza MASHUDU!
wewe ni fangasist?...
Nina hakika upo chini ya miaka 17. Hili sio jibu la mtu mzima na kama wewe ni mtu mzima familia yako ina hasara kubwa.
weka picha tukusaide please.......!
asante mpenzi,ngoja na mimi nizitafute izo spanxSababu ya weusi inatokana na msuguano wa mapaja wakati wa kutembea (friction), ukiwa unavaa shorts, wenyewe wanaziita spanx inasaidia sana. Mimi nimeona matokeo hayo lakini uwe unavaa bila kukosa labda wakati wa kulala tu, ukiizoea mwenyewe hutaiacha maana hutahitaji underskirt.