Recent content by Mhunzi De Volunteer

  1. M

    Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

    Mimi hapa eng. mwenzko nimechaguliwa automobile pia..check me 0716979180
  2. M

    Sokoine University of Agriculture, selected applicants for undergraduate 2014/15

    Nichekie abdul mhunzi , agricaltural economy and agribusiness sua
  3. M

    Walimu wengi ni mabalozi wa CHADEMA shuleni

    Kinana sio mjinga mpaka azunguke kila mkoa pasipo maslahi..unadhan atazunguka kila siku ? ngoja washinde urais uone atakachofanyiwa kinana utakaa chini ulie kwa jins nchi wanavyoitafuna nchi
  4. M

    Maandamanao ya wanafunzi wa elimu ya tarehe 15/08/2014- Nchi nzima

    Serikali haina hela ki ukweli..si mlisikia juzi tu hapo waajiriwa wapya wa halmashaur serikali imewarudsha nyumban kwa kukosa cha kuwalipa..TUMESHAFIRICKA #
  5. M

    Je, CCM inastahili kupewa muda tena?

    Inafikia muda nataman nabii yeyote wa Mungu aje nimwambie yangu ya moyon yanayonisibu kuhusu utawala mbovu uliopo nchii unagawa kaz kindugu , ufisad wa wazwaz , viongoz wake ni waongo na wazandiki wakubwa , wanaiba na kutumia rasilimali za nchi watakavyo...MIE MTOTO WA MKULIMA NIENDE WAPI...
  6. M

    Kagera: Wafariki kwenye Ziwa Victoria walipokuwa wanabatizwa...

    yale yale ya KIBWETELE nyie jamaa imani zenu kali sana !! siku mtu ataambiwa ATEMBEE JUU YA MOTO NA HATAUNGUA..WAPUMBAVU WATAAMINI " mungu alipotugea akili alikuwa na maana yake "
  7. M

    Clouds TV na propaganda ya vita kisiasa

    Bro !! anaemtunza hela mpiga zumar ndo anaechagua wimbo , ruge,kusaga mbona wana kadi za ccm ktambo
  8. M

    Ridhiwani Kikwete: Asilimia kubwa ya waandishi wa Habari ni makanjanja

    Sure waandshi wengne myeyusho na wazinguaj wapo kwaaili ya manufaa ya watu fulanfulan
  9. M

    Mch. Gwajima: Mimi sio kama wale (kuhusu kashfa)

    Hivyo ndo yesu alivyotufunza ,kutoa maneno ya kebeh pindi unapokwazwa ?? anajitamba ametembea nchi zaid ya 53 zinahusiana vp tuhuma zilizopo..ndo kusema yeye ametembea sna kulko wengine ? ama yye ndoana ana hela sana !!
  10. M

    Shirika la habari BBC linapromoti ushoga

    Hilo si la kushangaa uingereza ni miongon mwa nchi za mwanzo kuruhusu ndoa za jinsia moja na kama haitosh yapo makanisa ya catholic yanafungsha ndoa hzo paspo na shaka yyote..hao ndo waingereza bhana Sir ni cheo kikubwa sna uingereza lakn Elton john anaitwa "sir" japokuwa ameolewa na m.me mwenzake
  11. M

    Hatimaye mume wa Flora Mbasha afikishwa mahakamani

    Ndo mjue mbinguni kufka kgumu sna..Gwajima ni kiongoz wa kanisa ameamua kuyapka na ya yakapkika ili ajilie utamu bla bugudha
  12. M

    Binadamu tunaishi ili iweje? Au tupo duniani kufanya nini? Why Do We Live?

    Hilo swali lako lipo ki-imani zaid..kma wwe ni mkristo refer kwnye bible ama muulze pastor wako but kma ni muslim jbu ni simple tu coz uki-refer kwnye Qur-an Mungu anasema ,"nimeumba majini na b/damu ili tu wapate kuniabudu"..kwa mana hyo atakaefuata hayo maamrisho bhas atapata makaz mema...
  13. M

    Mwigulu Nchemba huna elimu ya kujisifia mbele ya Watanzania

    kwan Tz inamuhitaj mfanyabiashara ama kiongoz bora,muadirifu na mwenye elimu..huyo mboe aende akaongoze wachaga wenzake wafanyabiashara na sio watanzania ambao bado tunafuta nafuu ya utawala biashara zake zinahusiana vp uongoz we unampromote ili aje kutuibia vzur kma hawa wenzao ccm
  14. M

    Maswali na majibu kuhusu Uhamiaji

    Inapendeza sana kozi tunapeana mioyo ya kuamini ktk kila jambo but inafikia muda unaweza kukufuru Mungu ukahsi kama haoni juhud zako , nasema hivyo kwa sababu mmi ni mhanga wa hayo hadi sasa naona elimu yangu haijanisaidia nimekula sna maharage mabovu shule za bodying nikitegemea mwisho wa siku...
Back
Top Bottom