Wakuu sina shaka hii post ni ya Apr 2013, ninaona michango mpaka ya 2016 lakini mleta mada kama katoweka vile. Basi tuwe makini kama hatoi mrejesho yawezekana kesha olewa zamani na watoto wawili au zaidi, tuwe makini mna umiza vichwa mwenzenu yupo full shagwe. I submit.
Mkuu tupe taarifa kwa kina kidogo mh anasumbuliwa na nini? Kwanza nina mpa pole na nina muombea kwa mwenyezi mungu amponye na amuondolee maradhi yanayo msumbua.
Kuwa serious unapo hitaji msaada ndani ya jukwaa hili, acha mambo ya kish****oga, unapewa muongozo lakini unakomaa tu na maandishi yako ya kingese pyuuu.
Nsanzu ndio maana sasa anajutia, tumpe support kwani kisha jitambua ndio maana wanasema "some stories should remain untold" samehe saba mara sabini. Mkuu nenda kamuangukie wife mfungue ukurasa mpya. Wishing u guy all da best.
Sometimes mamito jifunze kuwa msiri mambo ya ndani kauka, usituadithie. Ndoa yataka uvumilivu aliye wekwa ndani kapendwa zaidi. Vi genye vingine vita isha tu then mtalea familia yenu kwa raha ajabu. Wana sema " some stories should remain un told" rudi kwa hubby wako no one is perfect ma dia.
Mkuu ndio ule usemi usemao "Penye udhia penyeza rupia" walisema pesa walio tumiwa ni kidogo sana na haitoshi kwa kuendeshea shughuri mbalimbali za kitaaluma mashuleni, baada ya miezi minne tu kupita, wameanza kuzigombania duuu, kweli Mh. Magufuru kazi ipo maombi yana hitajika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.