UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 17,458
- 8,746
Sasa hauoni kuwa huo ni utumwa?Mimi hapo kwenye ubondia pananihusu sana,yaani mtindi ukikolea tu lazima nilizue varangati.
Na hivi ubavu mdogo,basi nimejaa ngeu uso mzima!.
Sasa hauoni kuwa huo ni utumwa?Mimi hapo kwenye ubondia pananihusu sana,yaani mtindi ukikolea tu lazima nilizue varangati.
Na hivi ubavu mdogo,basi nimejaa ngeu uso mzima!.
Mhhh hebu ngoja nifike kwa Mangi nipige tatu nikirudi nitakujibuPombe ni lishe,kinywaji na chakula kinachopendwa sana na mamilioni ya wanadamu duniani kote.
Mtu anapokunywa pombe,humsahaurisha (kwa muda) na matatizo, msongo wa mawazo, madeni, shida, unyonge/upweke na kujiona yeye yupo juu ya mbingu na nchi.Mlevi/mnywaji hujiona yeye ni yeye, yeye ni raia namba moja hapa duniani. Wengi hupenda kunywa pombe nyakati za jioni.Kwa hapa Tanzania, pombe hunywewa zaidi ya soda.
Kuna ambao wakinywa pombe,huanza kuongea kiingereza mpaka kichina...na kuna ambao hugeuka mabondia!
Pombe humkumbusha mtu mambo mengi ya zamani na huleta hisia kali. Pombe huleta ujasiri.
Japokuwa pombe huleta hasara kiuchumi, imekuwa n vigumu sana watu kuacha/kupunguza pombe. Na mara nyingi wanywaji wengi hubajetia pombe toka kwenye mishahara (vipato) vyao,hata kama mshahara/kipato kiduchu namna gani.
Kwe wanaotumia pombe, unafikiri nn lengo la kunywa pombe?
Nawasilisha.
Natamani sana kunywa pombe, ajabu nikiwa na marafiki zangu nikiwaambia leo nataka niaze kunywa pombe wote wananiambia usidhubutu, acha usijaribu na wakati huo huo wao wanaagizia pombe. Mwisho tusiokunywa pombe tunadharauliwa sana na wahudumu wa bar sijui kwa nini.
Mkuu huku Arusha kuna bar inaitwa Night Park hapa mianzini...Haaaa haaa hii kitu ni kweli iseee, niliwahi kuishi Songea, pale town kuna pub inaitwa Vijana pub… yaani bila kunywea pale nilikua naona utamu wa pombe unapungua

Mkuu huku Arusha kuna bar inaitwa Night Park hapa mianzini...
Bia za Night park kama sijui wanatengenezea wapi.....
lazima ninye bia hapo hata kama nipo 20km away n![]()
![]()
![]()
Jana nimetoka kuwaambia jamaa kuwa aliyegundua hiyo kitu ingekuwa bora abebeshwe dhambi zote za walevi..Aliyegundua pombe ametusababishia matatizo makubwa saana
Acha aendelee kunyaaKwamba lazima Unye hapo mkuu.
Aiseee usiache kunywa pombe maisha yako yote....Nilikuwa darasa la saba nilichanganya konyagi ya kienyeji Na soda siku iyo nilicheza mziki mpaka basi ... Niko chuo nikanywa viloba Kesho Yake nikashindwa kufanya practical sikuingia darasani .. Niko kitaa maisha hayajakaa sawa niligegena bamedi kavukavu nikampa mimba.. Final nilikunywa bia tatu nikaruka hewani kwa binti aliyekuwa ananizengua ki mausiano siku iyo English ilipanda kuliko maelezo tukaanzia pale sasa ivi ndo mama watoto .... Ushauri kunywa kwa kiasi kwa ajili ya usingizi Na kubadilishana mawazo Na wenzako ....
PombeUna maana gani?alishasema tusimjaribu!tukimjaribu tutalewa sisi.
Haha sisi tunaita M.at.ak# bar sahvi hapa parking ni tatizo barabara inapanuliwa. Karibu mkuu tena.!Mkuu huku Arusha kuna bar inaitwa Night Park hapa mianzini...
Bia za Night park kama sijui wanatengenezea wapi.....
lazima ninye bia hapo hata kama nipo 20km away n![]()
![]()
![]()
Toroka uje???kuna kiwanja kipya tabata bia zake tam sana
Utakufa mapema usiobadilika.Mimi hapo kwenye ubondia pananihusu sana,yaani mtindi ukikolea tu lazima nilizue varangati.
Na hivi ubavu mdogo,basi nimejaa ngeu uso mzima!.