Ukiona hivo ujue njia zote zilishashindika na iliyosalia ndo hii. Tumwombeedada kama hufanyi kazi, nani anataka goli kipa? maisha magumu siku hizi ni kusaidiana, nakutakia kila la kheri ila kukushauri tafuta kwanza kazi, mume utampata huko huko
Nasisi wanaume tumezidi kukimbia majukumu yetu.hivi kazi ya mke nikukusaidia majukumu hayo au kukuhudumia nakulea watoto?kama hana kazi na ukiona unataka afanye kazi mpe mtaji au mtaftie wew.lakin hii yakutaka wazazi wajifunge mkanda kusomesha akianza kazi ndo uoe ule kilain itokeeetu ila mwanaume kamili hicho kisiwe kigezoUkiona hivo ujue njia zote zilishashindika na iliyosalia ndo hii. Tumwombee
Picha inboxMimi ni msichana wa miaka 26, elimu yangu ni shahada moja, sifanyi kazi ni mwembamba,maji ya kunde,mkristo.
Natafuta mme msomi at least degree,mwenye hofu ya Mungu,mwenye kazi ya maana,mkristo, mwenye mapenzi ya dhati,umri kuanzia miaka 29-35.
Kama uko interested ni Pm
Hongera sana Kaka kamà kweli hicho ulichokisema ni cha kweli na hapo ndio tutajua kamà kweli anamtafuta mme au hela na anshitahitaji kukudhalilisha au lah!!!Dadaangu hongera kwanza kwa kuwa na shahada moja japo hukusema nishahada ya nini..... Nikupongeze pia kwa kutumia jf kutafuta mume aliye thabiti.... Lakini najua mawazo yako ni mazuri sana japo wengi waliyotoa maoni yao kuhusu wazo lako.....
DADAANGU, mimi nataka nikusaidie kupata kazi kama upo tayari ili mume utakaye mpata muweze kuendana, kama unashahada ya elimu kazi ipo uwe mkufunzi wa chuo cha ualimu. Grade IIIA. Na diploma. Kama upo tayari ni sms kwa namba hii 0785931455 au nitumie barua pepe kwa anwani hii. emanuelbwire@gmail.com
ninania nzuri sana. Ubarikiwe
Arusi ni lini mkuu.?Dadaangu hongera kwanza kwa kuwa na shahada moja japo hukusema nishahada ya nini..... Nikupongeze pia kwa kutumia jf kutafuta mume aliye thabiti.... Lakini najua mawazo yako ni mazuri sana japo wengi waliyotoa maoni yao kuhusu wazo lako.....
DADAANGU, mimi nataka nikusaidie kupata kazi kama upo tayari ili mume utakaye mpata muweze kuendana, kama unashahada ya elimu kazi ipo uwe mkufunzi wa chuo cha ualimu. Grade IIIA. Na diploma. Kama upo tayari ni sms kwa namba hii 0785931455 au nitumie barua pepe kwa anwani hii. emanuelbwire@gmail.com
ninania nzuri sana. Ubarikiwe
Mimi ni msichana wa miaka 26, elimu yangu ni shahada moja, sifanyi kazi ni mwembamba,maji ya kunde,mkristo.
Natafuta mme msomi at least degree,mwenye hofu ya Mungu,mwenye kazi ya maana,mkristo, mwenye mapenzi ya dhati,umri kuanzia miaka 29-35.
Kama uko interested ni Pm
Najua sina sifa kama hujapata plz hebu nicheki nikusaidie...!Mimi ni msichana wa miaka 26, elimu yangu ni shahada moja, sifanyi kazi ni mwembamba,maji ya kunde,mkristo.
Natafuta mme msomi at least degree,mwenye hofu ya Mungu,mwenye kazi ya maana,mkristo, mwenye mapenzi ya dhati,umri kuanzia miaka 29-35.
Kama uko interested ni Pm