Zeruzeru mwenye timu yake tayari amesharudi rasmi, hii January Mancity ndio anaanza ligi huku amefungulia turbo.
Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app
Mwaka 2015 Yemen imetoka kuchapana na hao vibaraka wa Wazungu tena sio Saudia peke yake ilikua ni coalition ya nchi 8 Saudia, UAE, Kuwait, Bahrain, Jordan, Qatar, Misri na Sudan tena wakisaidiwa na Marekani, UK, France, Israel na Canada.
Myemeni baada ya kuona hawa kenge wanataka kumzoea sana...
Saudia na UAE ndio nchi ambazo Marekani ana maslahi nazo makubwa ya kiuchumi kuliko nchi nyingine yoyote hapo mashariki ya kati na pia kote kuna Us Military base.
Hapo Houth hawatakiwi kujiuliza mara mbili ni kuanza kutwanga tu visima vyao vya mafuta wenyewe wataomba kusimamisha vita.
Houthi...
Kushinda mechi sio suala la kutaka au kutokutaka, kushinda kunahitaji uwezo.
Je huo uwezo wa kushinda mnao?
Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app
Wabongo unafki mwingi sana, mtu akiiba simu au kuku anapigwa matofali na linatafutwa pira la gari na petrol anatiwa kiberiti halafu humuhumu watu wanajisifu kua wamempiga mwizi.
Mke wa mtu akifumaniwa mume anacharanga mapanga na wengine wananunua viroba vya mkaa kabisa vya kumchoma huyo...
Ila tuache utani Masingeli amelichangamsha sana hili jukwaa, bila ya uwepo wake humu hili jukwaa hua halinogi kabisa, tatizo lake huyu jamaa hua ana roho nyepesi sana timu ikifungwa.
Akianzaga zile story zake za aerial duel, Pressing na Overloading, positional interchange na flexibility...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Masingeli banaaa
Haya tumeshakiona kipigo cha mbwa koko.
Tumejitoa kwenye kombe la FA ili tufocus kwenye PL na Uefa(false hopes Fc)
Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app
Asenali ndio kubwa jinga lililotufungia mwaka 2023.
Christmas [emoji319] linaongoza ligi halafu kabla hata mwaka kuisha linajikuta liko nafasi ya 4 huko.
Ukimsikiliza Hamisi anavyo waongopea vijana wa humu unabaki mdomo wazi.
Hamisi anaidanganya misukule ya humu kua kwa sasa hakuna RW bora duniani wa kumzidi Sakatonge.
Cha-mbuzi timu ikifungwa linakula kona, hamtaliona tena humu mpaka mwakani.
Kikombe wanachoweza kupata hawa Kima labda ni kikombe cha mauti tu.
Mashabiki wa hii timu ukiwaambia ukweli wanakuchukia, washamezeshwa false hopes na kina Masingeli kua wao wapo level moja na kina Madrid na Bayern Munich.
Masingeli alishawaahidi watu humu kua msimu huu lazima watachukua Uefa...
Unamkuta mpiganaji wa Hamas ameshapoteza familia yote mke, watoto, baba, mama, mjomba huo ubinafsi atautolea wapi anapoona vifaru na wanajeshi wa Israhell.
Hii vita ikiisha hivi bila ya Israhell kutimiza malengo aliyojiwekea ya kuwaondoa Wapalestina wote ukanda wa Gaza ili aibe gesi na mafuta...
Laana ya kumnyima mwarabu timu, tena wiki ijayo amesema anafanya kisomo cha albadili, mbona mtaokota makopo msimu huu.
Wajaa laana Fc mechi ijayo mko na Spurs msimu huu mtaharisha hadi utumbo.
Eti Arsenal ni kubwa mno!!!!!
Timu tokea imeanzishwa karne ya 18 huko haijawahi kushinda kombe lolote la Ulaya,
Timu inaenda mwaka wa 20 bila kushinda Epl halafu unajidanganya Arse-no ni kubwa mnoooo, labda ukubwa wa makombe ya Emirates.
Arse-no ni level moja na kina Brighton huko wote...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.