Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sinaga huo utoto, nowadays ni nadra sana kunikuta kwenye thread za timu pinzani, huo muda ni bora nijifunze ni kwanini timu husika either Arsenal/Spurs/ Man city wamepoteza mechi kuliko kukaa kurusha vijembe kwenye thread.

Ukweli ni kwamba wazee Mnatuogopa mno, nadhani ndio sababu mnajaa humu tukipoteza mechi, standard mliyotuweka ni kubwa sana, kwamba sisi hatutakiwi kufungwa au ku draw? Sasa unakuta mtu anakesha wiki nzima humu akiongelea ubovu wa Arsenal eti sababu tulipoteza 1-0 dhidi ya A villa au Newcastle!
Unajizima data, sio?
 
All the rival fans enjoy when the Arsenal lose a match, nimegundua kwamba they get scared about us.
Mkuu Will Jr sio kwamba we are scared of you, fulham alone can do the job single handed let alone westham and the likes. We are here to remind you that arteta's arsenal is overrated. Now the truth is coming out prematurely.
 
Sinaga huo utoto, nowadays ni nadra sana kunikuta kwenye thread za timu pinzani, huo muda ni bora nijifunze ni kwanini timu husika either Arsenal/Spurs/ Man city wamepoteza mechi kuliko kukaa kurusha vijembe kwenye thread.

Ukweli ni kwamba wazee Mnatuogopa mno, nadhani ndio sababu mnajaa humu tukipoteza mechi, standard mliyotuweka ni kubwa sana, kwamba sisi hatutakiwi kufungwa au ku draw? Sasa unakuta mtu anakesha wiki nzima humu akiongelea ubovu wa Arsenal eti sababu tulipoteza 1-0 dhidi ya A villa au Newcastle!
Huyu sio wewe kwenye jukwaa la Man U ?
IMG_20240109_151141.jpg
 
| Mikel Arteta kwenye kambi ya mazoezi ya hali ya hewa ya joto huko Dubai: "Wachezaji wanaihitaji kwa sababu hatuwezi kuhoji juhudi zao.

"Walichokifanya [dhidi ya Liverpool], na mtazamo ambao wamecheza nao, ujasiri, uwajibikaji - kila kitu kipo.

"Lakini mpira hauendi katika mwelekeo sahihi kwa sasa kwenye nusu ya wapinzani, halafu unaruhusu bao lako ambalo ni la kushangaza.

"Lazima tubadili kasi, hiyo ni hakika, na tunahitaji wachezaji wetu na tunahitaji watu wetu pia.

"Katika nyakati ngumu, tunashikamana na kuwa nyuma ya wachezaji hao ambao, kwa maoni yangu, wanastahili mengi.

"Wanathamini hilo na tunashikamana na kufanya kile tulichofanya hapo awali. Hakuna jipya, matokeo yatakuja na furaha itakuja." [@arsenal] #afc
 
| Mikel Arteta kwenye kambi ya mazoezi ya hali ya hewa ya joto huko Dubai: "Wachezaji wanaihitaji kwa sababu hatuwezi kuhoji juhudi zao.

"Walichokifanya [dhidi ya Liverpool], na mtazamo ambao wamecheza nao, ujasiri, uwajibikaji - kila kitu kipo.

"Lakini mpira hauendi katika mwelekeo sahihi kwa sasa kwenye nusu ya wapinzani, halafu unaruhusu bao lako ambalo ni la kushangaza.

"Lazima tubadili kasi, hiyo ni hakika, na tunahitaji wachezaji wetu na tunahitaji watu wetu pia.

"Katika nyakati ngumu, tunashikamana na kuwa nyuma ya wachezaji hao ambao, kwa maoni yangu, wanastahili mengi.

"Wanathamini hilo na tunashikamana na kufanya kile tulichofanya hapo awali. Hakuna jipya, matokeo yatakuja na furaha itakuja." [@arsenal] #afc
Kasha poteana kwa sasa na itamuhitaji muda kukaa sawa nafikiri kama ataendelea kuamini vile anavyoamini basi asenali wajiandae kugombea nafasi ya yuefa tu nasi vinginevyo😂😂😂....

Msimu huu asenali kushinda kombe chini ya arteta sio tena jambo tarajiwa ni muujiza tu ndio utaruhusu👣

Fezifooo bai bai
 
| Mikel Arteta kwenye kambi ya mazoezi ya hali ya hewa ya joto huko Dubai: "Wachezaji wanaihitaji kwa sababu hatuwezi kuhoji juhudi zao.

"Walichokifanya [dhidi ya Liverpool], na mtazamo ambao wamecheza nao, ujasiri, uwajibikaji - kila kitu kipo.

"Lakini mpira hauendi katika mwelekeo sahihi kwa sasa kwenye nusu ya wapinzani, halafu unaruhusu bao lako ambalo ni la kushangaza.

"Lazima tubadili kasi, hiyo ni hakika, na tunahitaji wachezaji wetu na tunahitaji watu wetu pia.

"Katika nyakati ngumu, tunashikamana na kuwa nyuma ya wachezaji hao ambao, kwa maoni yangu, wanastahili mengi.

"Wanathamini hilo na tunashikamana na kufanya kile tulichofanya hapo awali. Hakuna jipya, matokeo yatakuja na furaha itakuja." [@arsenal] #afc
Kaongea point sana.
 
Kaongea utopolo, anawa-back up wachezaji ina maana hakuna usajili. Nakumbuka Ferg aliwahi kumpiga na kiatu Ron akachanika chini ya jicho kwa ujinga waliofanya uwanjani. Huyu bado anawapaka wachezaji wake mafuta kwa mgongo wa chupa.
Achana naye huyo Nyumbu anatusanifu tu sisi timu kubwa. Huenda hata hajasoma kilichoandikwa 😀😀
 
Back
Top Bottom