Will Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 5,077
- 7,420
Who cares?sasa si ndio utoe hizo credible sources ili umthibitishie! kukimbia mjadala ndio itathibitisha madai yake kuwa taarifa zako ni za uchochoroni
Who cares?sasa si ndio utoe hizo credible sources ili umthibitishie! kukimbia mjadala ndio itathibitisha madai yake kuwa taarifa zako ni za uchochoroni
Shindeni na njaa.Kwahiyo sisi ndiyo hatutaki tena kushinda mechi?
Unajizima data, sio?Sinaga huo utoto, nowadays ni nadra sana kunikuta kwenye thread za timu pinzani, huo muda ni bora nijifunze ni kwanini timu husika either Arsenal/Spurs/ Man city wamepoteza mechi kuliko kukaa kurusha vijembe kwenye thread.
Ukweli ni kwamba wazee Mnatuogopa mno, nadhani ndio sababu mnajaa humu tukipoteza mechi, standard mliyotuweka ni kubwa sana, kwamba sisi hatutakiwi kufungwa au ku draw? Sasa unakuta mtu anakesha wiki nzima humu akiongelea ubovu wa Arsenal eti sababu tulipoteza 1-0 dhidi ya A villa au Newcastle!
Dogo nakuonaga comedy tu, huna tofauti na joti au mpoki.Unajizima data, sio?
Mkuu Will Jr sio kwamba we are scared of you, fulham alone can do the job single handed let alone westham and the likes. We are here to remind you that arteta's arsenal is overrated. Now the truth is coming out prematurely.All the rival fans enjoy when the Arsenal lose a match, nimegundua kwamba they get scared about us.
Huyu sio wewe kwenye jukwaa la Man U ?Sinaga huo utoto, nowadays ni nadra sana kunikuta kwenye thread za timu pinzani, huo muda ni bora nijifunze ni kwanini timu husika either Arsenal/Spurs/ Man city wamepoteza mechi kuliko kukaa kurusha vijembe kwenye thread.
Ukweli ni kwamba wazee Mnatuogopa mno, nadhani ndio sababu mnajaa humu tukipoteza mechi, standard mliyotuweka ni kubwa sana, kwamba sisi hatutakiwi kufungwa au ku draw? Sasa unakuta mtu anakesha wiki nzima humu akiongelea ubovu wa Arsenal eti sababu tulipoteza 1-0 dhidi ya A villa au Newcastle!
Mchawi kocha tu, huwezi kuwa unacheza mfumo huo huo kila mechi. Hata Lipuli anakukazia tu.Tafuteni wachezaji wa kueleweka aseee
Odegaard.
Jesus.
Nketiah
Nelson
Saka
Martinelli
Ben White
Na kocha wao Arteta hawana uwezo wowote ule .
Kushinda mechi sio suala la kutaka au kutokutaka, kushinda kunahitaji uwezo.Kwahiyo sisi ndiyo hatutaki tena kushinda mechi?
HakunaHivi ile penati aliyopewa crystal palace(mateta) faulo yake inautofauti gani na aliyofanyia gabriel jesus?
😂😂😂😂Kushinda mechi sio suala kutaka au kutokutaka, kushinda kunahitaji uwezo.
Je huo uwezo wa kushinda mnao?
Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app
| Mikel Arteta kwenye kambi ya mazoezi ya hali ya hewa ya joto huko Dubai: "Wachezaji wanaihitaji kwa sababu hatuwezi kuhoji juhudi zao.Kasha poteana kwa sasa na itamuhitaji muda kukaa sawa nafikiri kama ataendelea kuamini vile anavyoamini basi asenali wajiandae kugombea nafasi ya yuefa tu nasi vinginevyo😂😂😂....| Mikel Arteta kwenye kambi ya mazoezi ya hali ya hewa ya joto huko Dubai: "Wachezaji wanaihitaji kwa sababu hatuwezi kuhoji juhudi zao.
"Walichokifanya [dhidi ya Liverpool], na mtazamo ambao wamecheza nao, ujasiri, uwajibikaji - kila kitu kipo.
"Lakini mpira hauendi katika mwelekeo sahihi kwa sasa kwenye nusu ya wapinzani, halafu unaruhusu bao lako ambalo ni la kushangaza.
"Lazima tubadili kasi, hiyo ni hakika, na tunahitaji wachezaji wetu na tunahitaji watu wetu pia.
"Katika nyakati ngumu, tunashikamana na kuwa nyuma ya wachezaji hao ambao, kwa maoni yangu, wanastahili mengi.
"Wanathamini hilo na tunashikamana na kufanya kile tulichofanya hapo awali. Hakuna jipya, matokeo yatakuja na furaha itakuja." [@arsenal] #afc
Kaongea point sana.| Mikel Arteta kwenye kambi ya mazoezi ya hali ya hewa ya joto huko Dubai: "Wachezaji wanaihitaji kwa sababu hatuwezi kuhoji juhudi zao.
"Walichokifanya [dhidi ya Liverpool], na mtazamo ambao wamecheza nao, ujasiri, uwajibikaji - kila kitu kipo.
"Lakini mpira hauendi katika mwelekeo sahihi kwa sasa kwenye nusu ya wapinzani, halafu unaruhusu bao lako ambalo ni la kushangaza.
"Lazima tubadili kasi, hiyo ni hakika, na tunahitaji wachezaji wetu na tunahitaji watu wetu pia.
"Katika nyakati ngumu, tunashikamana na kuwa nyuma ya wachezaji hao ambao, kwa maoni yangu, wanastahili mengi.
"Wanathamini hilo na tunashikamana na kufanya kile tulichofanya hapo awali. Hakuna jipya, matokeo yatakuja na furaha itakuja." [@arsenal] #afc
Kaongea utopolo, anawa-back up wachezaji ina maana hakuna usajili. Nakumbuka Ferg aliwahi kumpiga na kiatu Ron akachanika chini ya jicho kwa ujinga waliofanya uwanjani. Huyu bado anawapaka wachezaji wake mafuta kwa mgongo wa chupa.Kaongea point sana.
Achana naye huyo Nyumbu anatusanifu tu sisi timu kubwa. Huenda hata hajasoma kilichoandikwa 😀😀Kaongea utopolo, anawa-back up wachezaji ina maana hakuna usajili. Nakumbuka Ferg aliwahi kumpiga na kiatu Ron akachanika chini ya jicho kwa ujinga waliofanya uwanjani. Huyu bado anawapaka wachezaji wake mafuta kwa mgongo wa chupa.
Nmesoma, arteta anatuliza pressureAchana naye huyo Nyumbu anatusanifu tu sisi timu kubwa. Huenda hata hajasoma kilichoandikwa 😀😀
Hamna kitu humo kwa kocha.Nmesoma, arteta anatuliza pressure
Then mjipange mdg mdg
Mmetoka mbali, mnaenda mbali em tulieni
Itakuwa ni manyumbu na kenge wamevaa jezi za ze Ganaz ili kupumbaza watu