Mgugu
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 2,165
- 4,400
Mwaka 2015 Yemen imetoka kuchapana na hao vibaraka wa Wazungu tena sio Saudia peke yake ilikua ni coalition ya nchi 8 Saudia, UAE, Kuwait, Bahrain, Jordan, Qatar, Misri na Sudan tena wakisaidiwa na Marekani, UK, France, Israel na Canada.hahahahaha unazani ni rahisi kama unavyo Sema?
Yemen ni nchi masikini apo Middle East kurusha Ata kombola moja Saudia
Yemen itafutwa yote hakuna jiwe litabaki juu ya jiwe lingine zitabaki kelele za pray for Yemen tu
Myemeni baada ya kuona hawa kenge wanataka kumzoea sana akaanza kutwanga visima vyao vya mafuta, wenyewe wakaomba mazungumzo ya Amani labda kama wewe ni mgeni wa siasa za mashariki ya kati ndio utawa under estimate hao Wahouth.
Sent from my Infinix X6831 using JamiiForums mobile app