Recent content by mgosimtata

  1. M

    Hili Tangazo la Timu Lowassa linatudharau!

    "Mtu mwenye akili akikuambia jambo la kipumbavu wakati anajua una akili, ukikubaliana nae anakudharau"- Bwana Malihoja unataka tukubaliane nawewe ili utudharau?? Basi tusambazie hizo ambazo hazijafanyiwa "slow motion" ili tukubaliane na wew, vinginevyo tutaendelea kukubaliana na...
  2. M

    Ni Ndoto ya Alinacha kuamini wapinzani wanaweza kuingia Ikulu mwaka huu

    Usikrem kua ckuzote ni ndoto za Alinacha. Alinacha ashakufa zaman. Ni ndoto za Ng'wamapalala kuamin kua ccm haiwez kutoka madarakan(au kuamin kua Upinzan hawawez kuingia ikulu mwaka huu)
  3. M

    Azam TV nao wametugeuka, tuende wapi?

    Mpendwa Mteja. Serikali imewaarifu wote wenye makampuni ya ving'amuzi kuongeza VAT kwa malipo ya vifurushi vya mwezi. Zuku poa itakuwa Tsh 15,500 kuanzia malipo yanayofuata. Mbaya zaid awa jamaa hawana channels za bure malipo yakiisha adi local channels wanakata
  4. M

    Azam TV nao wametugeuka, tuende wapi?

    SIO AZAM TU. ZUKU AWA APA Mpendwa Mteja. Serikali imewaarifu wote wenye makampuni ya ving'amuzi kuongeza VAT kwa malipo ya vifurushi vya mwezi. Zuku poa itakuwa Tsh 15,500 kuanzia malipo yanayofuata MWANZO ZUKU POA ILIKUA TSH13,000
  5. M

    Ukarimu wangu umeniponza

    Sio bure, lazma amehisi kua unamnyatia ama mkewe au mdogo wa mkewe
  6. M

    Nitapataje hati ya nyumba?

    Naunga "Mkonyo" Hoja. Nami nataka nifahamu nitapataje Hati ya Kiwanja/nyumba?
  7. M

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Tukitaka turud ktk nafas yetu lazma tuwachukue watu km Benteke na Higuain wasimame pale mbele lakin c uyu mjinga sterling
  8. M

    Usibishane na John

    Wew ni Mjinga kama jina lako
  9. M

    Usibishane na John

    Huna mfano mwingne wa kutumia zaid ya mwalimu wako aliekufundisha wew kusoma na kuandika?? Mazafanta wew
  10. M

    Watangazaji Wetu na Matamshi ya Majina ya Kimombo!

    Ona apa jinsi wabongo tunavotamka tofauti Chelsea- tunatamka chelsii Swansea- tunatamka swan sea badala ya swan sii
  11. M

    Yaliyojiri kwenye Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA) 13 June 2015

    clouds wamekata saut kote. itv nao cjui wanafnya nin nmekaa kuwasubir awaelewek
  12. M

    Wantazania tuwe na matumaini

    Wantazania ndo wakina nan wanaishi nchi gan? Ulimaanisha Watangaza nia au Watanzania? Ue una "edit' kazi yako mkuu
  13. M

    Acheni kulalamika na kushangaa, ujanja wa serikali huu hapa

    Mafuta ya taa kodi imepanda kutoka tsh50-150. Mafuta ya petrol na disel tshs263-313. Kwa bajet hii wananchi hasa vijijin ambako mafuta ya taa yana umuhim sn, wananchi wakielimishwa vzur bas ccm ata km wangemcmamisha mwalm hawana budi kutoka madarakan
  14. M

    Kwa hili TCRA imulikeni Azam TV

    Wezi wengine ni ZUKU, yaan bundle likiisha local channels kama ITV,TBC1,CHANNEL10, EATV zote wanakata. TCRA hawasemi lolote
  15. M

    Nimekamatika kwa penzi la PS wangu, Ushauri wenu please

    Mkule tu maana hakuna namna nyingne tumechoka kuckia hadithi za kitot km izi
Back
Top Bottom