Watangazaji Wetu na Matamshi ya Majina ya Kimombo!

Watangazaji Wetu na Matamshi ya Majina ya Kimombo!

Adoe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2011
Posts
235
Reaction score
71
Kiingereza siyo lugha yetu hilo liko wazi, lakini watangazaji wetu wa radio na TVs hawafanyi juhudi zozote kufahamu jinsi ya kutamka majina ya timu, majina ya wachezaji pamoja na majina ya miji hasa ktk English Premier League ambayo si siri kuwa ni ligi inayoangaliwa dunia nzima.

Baadhi ya majina ya timu /vilabu yanayotamkwa ndivyo sivyo:

Tottenam Ozibag (Tottenham hotspurs)

Swanzea (Swansea)
inatamkwa: Swanzi

inaendelea...
 
Nyukestlo (Newcastle)
inatamkwa: Nyukesol

Midosbogo (Middlesbrough)
inatamkwa: |'midlzbr|

Lekesta (Leicester)
Inatamkwa: Lista
 
Majina ya miji:

Glasgou (Glasgow)
inatamkwa: Glazga

Edimbaga (Edinburgh)
inatamkwa: Edin -bruh

Wikombe (Wycombe)
inatamkwa: Wickum
 
Majina ya miji:

Glasgou (Glasgow)
inatamkwa: Glazga

Edimbaga (Edinburgh)
inatamkwa: Edin -bruh

Wikombe (Wycombe)
inatamkwa: Wickum
Asante mdau, usemayo ni kweli kabisa. Mimi binafsi katikati ya wiki hii nilimsikia mtangazaji mmoja maarufu kwenye tv maarufu kwenye kipindi cha muziki akimzungumzia mwanamuziki aliyemwita Sairili Kamikaze.Kwa bahati jina la huyo mwanamuziki liliandikwa kwenye screen. Jina lilikuwa Cyril Kamikaze. Nilimshangaa sana huyo mtangazaji kwa sababu tuna mbunge mwenye hilo jina, na kila mara bungeni linatamkwa Siril Chami na siyo Sairili Chami.
 
Mmoja sijawahigi kumsahau. badala ya kusema "Franswa Mitterand" Akasema, bila kupepesa macho "Frankwayz" Of course majina mengine ni hatari. Km. Omar Kwaang '.
 
Duh! wakati wa utoto nilikuwa nasoma nationali badala ya national.
 
Kiingereza siyo lugha yetu hilo liko wazi, lakini watangazaji wetu wa radio na TVs hawafanyi juhudi zozote kufahamu jinsi ya kutamka majina ya timu, majina ya wachezaji pamoja na majina ya miji hasa ktk English Premier League ambayo si siri kuwa ni ligi inayoangaliwa dunia nzima.

Baadhi ya majina ya timu /vilabu yanayotamkwa ndivyo sivyo:

Tottenam Ozibag (Tottenham hotspurs)

Swanzea (Swansea)
inatamkwa: Swanzi

inaendelea...

Swansea- Swan Sea sio swanzi.
 
Ona apa jinsi wabongo tunavotamka tofauti
Chelsea- tunatamka chelsii
Swansea- tunatamka swan sea badala ya swan sii
 
Turudi bongo, Young African wao wanatamka Yanga Afrika!
 
Back
Top Bottom