Habari wakuu,
Nipo katika treni ya Tazara maarufu Mwakyembe natokea Tazara kuelekea Moshi Bar.
Kuna tangazo linasikika hapa juu ya walimu kuendelea kulipa nauli mpaka utaratibu wa kutolipa nauli utakapotambulishwa kwao.
Mhe. Makonda kama utapita hapa tafadhali malizia kazi uliyoianza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.