Nilikuwa namshangaa sana Maulid Kitenge Na huyo mwenzake wanavyoshabikia hatua ya serikali! Mambo ya FIFA yanajulikana! Tenga si mbabaishaji hata kidogo wall si king'ang'anizi wa madaraka! Angeweza hata kugombea tena sababu FIFA wanamkubali lakini kwa uungwana wake ameamua kuwaachia wengine...
Kwa kweli mie uongozi wa mwenyekiti Rage sijui niuiteje? Ni mara mia uongozi wa kina Mzee Dalali walikuwa na hekima! Kuliko mbwembwe na utapeli wa hawa kazi kusingizia watu wengine kwa failures zao! Unadanganya watu unajenga kiwanja cha kisasa bila kuonyesha source of Funds! Halafu watu...
Mimi ni mpenzi wa Simba na kusema ki ukweli yatubidi tujitafakari kwa manufaa ya club yetu badala ya kubisha kishabiki. Hawa watani wetu wanayosema ni ya kweli! Kiongozi wetu mkuu Ndg Rage nadiriki kusema ni tapeli tena wa kutupwa! Nipashe wameandika vizuri kabisa wala Tusijifanye wabishi...
Kwa kweli hii haiingii akilini! Kama chama tawala mnaanza kulalamikia vyama vya upinzani Ambavyo kwa upande mwingine mnavidharau sisi wengine tutafanyaje? Yaani CDM wanainfluence katika uchaguzi wenu basi kweli CCM Kwisha kazi!
Mie nilivyomuelewa mwandishi ni kwamba ajali imetokea jirani na Musoma along Musoma -Mwanza Road! Nadhani itakuwa hapa njia panda ya mwanzo ya njia (ya vumbi) ya kuelekea Butiama ukitokea Musoma mjini!
Hiyo Hotel ni kitega uchumi cha NSSF Kama ilivyo JB Belmont hapa mkapa tower! Inasemekana mtu aliyekuwa Ana-operate Hotel hiyo kwa jina la Nyumbani Hotel alikuwa halipi pango (Kama ilivyokuwa kwa msomali wa Paradise hapo Mkapa tower) akiamini NSSF ni shirika la umma na kwamba si wafuatiliaji...
Aisee ni aibu isiyovumilika! Yaani mtu unapigwa tanganyika jeki halafu unakabidhiwa kwa policy? Hata kama ni chakula gani siwezi tena kula wala kuonekana tena ktk eneo Hilo! Labda tu kwa vile binadamu tunatofautiana! Nimewahi kumshuhudia mshkaji wangu mmoja na heshima zake kwenye bufee ya mnuso...
Yaani kitendo hicho kinazidi hata Yale masikitiko ya wale watu Wa kwenye tangazo la Airtel kwamba 'WAMEKATA' yaani mtu unaisubiri habari kwa hamu watu wanakata! Very unfair!
Hata vya zege mbona vinaibiwa! Nenda barabara ya Igunga-Nzega utashangaa mwenyewe! Wanaiba halafu wanabomoa zege kuchukua nondo zilizojengewa ndani ya zege kwa matumizi Yao! Chezea wabongo wewe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.