Confederate Spy
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 426
- 144
Mahojiano yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa baina ya wanaowania nafasi mbalilmbali UVCCM.Inashangaza sana kuona ndani ya jumuiya hii baadhi ya vijana wamekubali kutumika vibaya kufanikisha malengo binafsi ya watu na taasisi za kisiasa au makundi fulani ya kisiasa hapa nchini kwa fedha na au ushawishi bila kujua kwamba wanakiangamiza chama.Taarifa ni kwamba kuna waliopandikizwa na kambi za urais na wengine wamefikia hata hatua ya kutumika na vijana wengine nje ya chama kabisa.Hawa hatuna msalia mtume ni lazima tuwaweke pembeni.
-Paul makonda anatumiwa na vijana nje ya ccm pamoja na baadhi ya wanasiasa wakongwe ndani ya chama hiki ambao wameshiriki kukichafua chama hiki kwa kiasi kikubwa pamoja na mgombea mmoja wa UWT pamoja na Nape nnauye
-Salum Hapi anatumika na mtoto mmoja wa kigopgo anayejifanya yeye ndiyo kila kitu uvccm.Tutaona atakachoambulia uchaguzi huu
-Sango Kasera anatumika na vijana nje ya CCM husuasani vijana wa Chadema wakiiongozwa na Ben Saanane
-Zenda mzindakaya anatumika na baadhi ya vijana wa kambi mojawapo ndani ya chama
-Felician huyu anatumika na kambi mojawapo ndani ya chama na pia akihusishwa na baadhi ya vijana nje ya chama hasa chadema.siku chache zilizopita alikutwa kwenye hotel moja maarufu na pamoja na waandishi wa habari na Ben Saanane wa chadema na vijana wengine
-Mashtaka ya mavunde pia kuhusishwa na vijana hao wa chadema hayajaletwa katika mlolongo unaoashiria ushiriki wake katika siasa hizi za kihaini
Naomba nitumie fursa hii kuwashauri vijana hawa wajichunguze tena kama kweli wanaweza kupewa mandate ya kuongoza jumuiya hii kongwe.Katibu UVCCM ndugu Martine Shigela ameshatoa muongozo kuhusu hili.Na nawaonya viajana wengine wa upinzani wanaojaribu kutupandikizia mwenyekiti dhaifu kwa malengo ya kurahisisha siasa zao kuelekea 2015 waache mara moja.Hii siyo demokrasia kuingilia michjakato ya kisiasa ya vyama vingine.Tunakosa mbinu ya kupambanisha sera badala yake tunacheza michezo michafu
-Paul makonda anatumiwa na vijana nje ya ccm pamoja na baadhi ya wanasiasa wakongwe ndani ya chama hiki ambao wameshiriki kukichafua chama hiki kwa kiasi kikubwa pamoja na mgombea mmoja wa UWT pamoja na Nape nnauye
-Salum Hapi anatumika na mtoto mmoja wa kigopgo anayejifanya yeye ndiyo kila kitu uvccm.Tutaona atakachoambulia uchaguzi huu
-Sango Kasera anatumika na vijana nje ya CCM husuasani vijana wa Chadema wakiiongozwa na Ben Saanane
-Zenda mzindakaya anatumika na baadhi ya vijana wa kambi mojawapo ndani ya chama
-Felician huyu anatumika na kambi mojawapo ndani ya chama na pia akihusishwa na baadhi ya vijana nje ya chama hasa chadema.siku chache zilizopita alikutwa kwenye hotel moja maarufu na pamoja na waandishi wa habari na Ben Saanane wa chadema na vijana wengine
-Mashtaka ya mavunde pia kuhusishwa na vijana hao wa chadema hayajaletwa katika mlolongo unaoashiria ushiriki wake katika siasa hizi za kihaini
Naomba nitumie fursa hii kuwashauri vijana hawa wajichunguze tena kama kweli wanaweza kupewa mandate ya kuongoza jumuiya hii kongwe.Katibu UVCCM ndugu Martine Shigela ameshatoa muongozo kuhusu hili.Na nawaonya viajana wengine wa upinzani wanaojaribu kutupandikizia mwenyekiti dhaifu kwa malengo ya kurahisisha siasa zao kuelekea 2015 waache mara moja.Hii siyo demokrasia kuingilia michjakato ya kisiasa ya vyama vingine.Tunakosa mbinu ya kupambanisha sera badala yake tunacheza michezo michafu