Mkirua
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 5,647
- 2,512
Saa nyingine tumia walahu momemnt of silence kutafakari ili usionekane mjinga na kituko mbele za watu, Simba jana imecheza na Azzam mechi ya Ngao ya hisani kuashilia uzinduzi wa ligi kuu sasa wewe sijui nikusaidiaje ili utoke usingizini!!??
Mkuu hawa jamaa wanadanganywa na huyu ex mfungwa Maaragwe wanavimba vichwa. Chezea Al Shaababu wewe?? Mtauzwa wote na jezi zenu....