Wakati kesi dhidi yake ya kutaka kumhonga golikipa wa Mtibwa Sugar Shaban Kado ikiwa haijulikani majaaliwa yake,Ulimboka Mwakingwe amehusishwa tena katika sakata ya kumshawishi beki wa Yanga Kelvin Yondani avute mshiko ili ausaini upya mkataba uliokuwa na makosa wa Simba ili aichanganye kamati ya Alex Mgongolwa kufikia maamuzi.Huyu jamaa ni hatari na jamaa wa Simba bado wanamtumia.
Chanzo:Magazeti ya 11/09/2012.
Chanzo:Magazeti ya 11/09/2012.