Chenge
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 1,073
- 377
Channel 10 siku kadhaa zilizopita walitangaza kwamba siku ya jumamosi ambayo ni leo majira ya saa 2 usiku watakuwa na kipindi maalumu kuhusu mauaji ya mwandishi wa habari Iringa, ajabu mida hii wanaonyesha kipindi cha bongo fleva hapa sijui inamaanisha nini tena au SERIKALI IMEWAPIGA MKWARA?
Wakuu hicho kipindi kitarushwa kesho Jumapili kuanzia saa 2:3o usiku na sio Jumamosi kama ambavyo ilikuwa imesemwa hapo awali.Poleni sana kwa usumbufu Hamza Kasongo Hour ni Jumapili na sio Jumamosi.