sina taaluma ya sheria..lakini naweza kusema leo nimeenda darasa la sheria..
Kila la heri TL.
Mkuu Isango, usichoke kutujuza yanayojiri hapo mahakamani!
Ni kweli tetemeko kubwa (8.6 magnitude) limetokea kwenye ufukwe wa Indonesia. Bahari ya Hindi imetikisika na kupelekea uwezekano wa tsunami kusambaa hadi hapa kwetu.
Bahati nzuri maji yamesambaa laterally (mwelekeo wa kulia na kushoto au kaskazini na kusini) lakini siyo kwenda mbele (mashariki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.