Hao waasi wanafadhiliwa na bwana Kagame na Museveni , ili wao waibe mali za Congo . Kutatua huo mgogoro ni ku deal na hao mabwana FULL STOP.
Sent from my TECNO KD7 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni HPV , nenda hospitali upate dawa lkn pia ulipata PEP kwakuzuia maambukizi ya HIV au unasubiri upime baada ya muda [emoji848]
Sent from my TECNO KD7 using JamiiForums mobile app
Nenda Wilayani ofisi ya elimu watamhamisha chap, lkn pia Prem haiwezi soma darasa la 5 Kama hajafanya mtihani, Prem inamkalilisha darasa.
Sent from my TECNO KD7 using JamiiForums mobile app
Mtoto asipofanya mtihani. Mfumo wa Prem utamkalilisha darasa, hauwezi kusoma eti darasa la 5. Lkn jaribu kutatua hizo changamoto pia nenda Wilayani ofisi ya elimu watamuhamisha
Sent from my TECNO KD7 using JamiiForums mobile app
Faida zipo Sana, mm nmeweza kujifunza lugha ya kijerumani kwa kuongea peke yangu na wajerumani wanashangaa nmejifunzaje Mana Niko fluent Kama vile nmeishi huko Munich.
Sent from my TECNO KD7 using JamiiForums mobile app
Mwamba Osama Bin Laden alikufa kwa ugonjwa wa Figo kufeli, baada ya Obama kugundua hilo akatengeneza kifo feki kwasabb wakat anatafuta kura aliwahaidi wamarekani kwamba atakuja kumkata Osama. Kwa njia hiyo akatimiza ahadi.
Sent from my TECNO KD7 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.