gari nzuri nimeitumia toka 2010 nilianza na sf9 mpaka sasa niko na SG5 cross sport. inahimili shida iko na nguvu designed for off road.
spares zipo siku hizi japo bei ya spare sio km ya corolla.
mkuu hizo shughuli nenda nairobi ndo najua wamebobea kwenye hizo kazi hata mombasa. by the way hiyo gari yako sina haikika km unaweza kuigfamyia tuning.
NI GARI NZURI INAKIMBIA INATULIA KWA ROAD, FUEL CONSUMPTION EXCELLENT, ENGINE INADUMU DEPENDS NA MATUNZO YAKO. JAPO INABIDI UJIANDAE NA SPARES ZIKO JUU NA NI GARI ISIYOTAKA ROUGH ROAD AS IKO CHINI SANA.
UNAWEZA NISAIDIA NINI MATATIZO MAKUBWA YA DISCOVERY II V8 FROM JAPAN KABLA SIJAINUNUA? JE NI GHARAMA SANA KUI-MAINTAIN? MATATIZO YAKE YA KWAIDA NI YAPI?
Wakuu nataka kununua gari kutoka NGO moja hapa nchini. Lakini hili gari halikulipiwa kodi wakati linaingizwa nchini ila lilisajiliwa kwa namba za kiraia. Nikitaka kulimiliki natakiwa kulipa kodi kiasi gani? magari kama haya huwa wanalipa BIMA na Motor vehicle?
gari lenyewe ni Discovery II, V8...
BMW 3 series ni saloon car haifai kwa barabara aloisema atakua anaitumia(ya vumbi na mashimo) kama unataka perfomance go for impreza STI wrx then utanambia. Na unambie why WRC haifanyiki kwenye barabara ya lami?
Dude usijali kuhusu gharama ulizoingia kwake. Akija akikusaundisha na ukakubali ndo utakua mchezo wake kila mara anafanya makusudi akijua huruki c unampenda.
Ila kwa jinc unavyolalamika huna unjanja wa kumuacha ht km akizaa nje. Pole sana ila ndo hvyo kashaliwa kaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.