mimi mjamaa kama huyu naweza mpeleka hata polisi afungwe hata mwaka...mimi mwanaume jinga jinga siwezi kwa kweli siwezi.....mwanaume wa kujua tu maisha magumu hadi aombewe? siwezi..
taratibu basi usije kutoboa screen bure kwa hasira
Naamini wapo wanaume ambao wanajua nini maana ya uanaume wao na kwa nini walipewa nafasi ya kuwa wanaume
hawa wengine Mungu asaidie tuu