Ni kiki za siasa tu.Napata ujumbe ufuatao kwenye hii safari ya Marekani
1.Wanasiasa ni kila kitu yani hata udaktari wanaweza na ndio mana wameamua wao watoto wakatibiwe Marekani
2.Wanasiasa hawaamini utaalamu wa afya unaokua practised Tamzania na ndio mana haikua kwenye akili zao kujaribu...
Matokeo ya form iv yametoka na 60% ya shule kumi za mwisho imetoka mkoa wa Dar es salaam.
Binafsi nilitegemea mkuu wa mkoa Bw Paul Makonda atatoka kuongelea ubovu wa matokeo kwenye mkoa anaoongoza anakuja kututangazia kuhusu watu wanaotuhumiwa kujihusisha na biashara ya madawa.Sisemi si sahihi...
Nimekua nikifuatilia mwenendo wa mkuu wa nchi tangu kipindi anatushawishi tumchague.Alikua mtu wa uhakika na wengi waliamini utekelezaji wa anachokiahidi.Moja ya vitu muhimu alivyoahidi ilikua elimu bora kwa gharama nafuu.Mpaka sasa nashindwa kuelewa alitudanganya au hakumbuki alichoahidi.Mambo...
Wewe hukupatwa na maafa ya kagera mtu akaja kukupa maneno ya kejeli ndo mana unaongea huu utumbo.Huna njaa pesa ipo,Husomi ukajua shida ya kukosa mkopo,mshahara wako unatosha huhitaji kupandishwa daraja wala kuongezwa,Matamshi yasiyo na mbele wala nyuma kwako ni kama nyimbo za diamond.Vaa viatu...
Hamna njaa wanaosema kuna njaa ni wapinzani na wafanyabiashara,Serikali haina shamba wanakagera limeni ardhi ni ya kijani,Kagera mmezidi tetemeko nyinyi;Ukimwi nyinyi na mto ngono uko kwenu.
bado huoni tu
unashauri wajenge kiwanda kwa mawazo ya mtu aliyetumia pesa zao.Haijakukuta wewe ndo mana ni rahisi kushabikia.Mtu hana chakula wala pa kulala unashaur ajenge kiwanda
Ni rahisi sana kumlaumu Chidi kwa hali aliyofikia ila tujue kabisa kuna wakati na yeye anajiskia na kujuta kutumia.Addiction na dependence sio mchezo.unaangamia unajiona.Muda aliotumia kule sober house ni mdogo sana ukilinganisha na kipindi alichotumia madawa i mean tangu alivyoanza mana...
Za mchana wana jukwaa.Leo nimeona niwaletee list ya wanasiasa ambao kwa namna moja au nyingine wamesaliti vyama na watu wanaowaongoza.
1.Freeman Mbowe
Huyu ni kati ya wanasiasa wanaofanya siasa biashara bila kujali jamii itamchukuliaje na madhara ya usaliti wake kwa anaowaongoza.Kabla ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.