Rais Magufuli na elimu

Meropenem

Member
Dec 14, 2016
23
14
Nimekua nikifuatilia mwenendo wa mkuu wa nchi tangu kipindi anatushawishi tumchague.Alikua mtu wa uhakika na wengi waliamini utekelezaji wa anachokiahidi.Moja ya vitu muhimu alivyoahidi ilikua elimu bora kwa gharama nafuu.Mpaka sasa nashindwa kuelewa alitudanganya au hakumbuki alichoahidi.Mambo yafuatayo yamekua yakididimiza kuliko kupandisha elimu

1.Kuwanyima mikopo wanafunzi wa vyuo either wanaoanza au kuendelea na masomo.kazi yangu inanifanya nifike kwenye baadhi ya vyuo vikuu mara kwa mara.Mwanzoni mwa mwaka wa masomo nimekua nikikutana na wanafunzi wengi walioandika barua kusitisha au kuahirisha masomo.Hii inaletwa na kukosa mkopo

2.Uteuzi wa wahadhiri kwenye nafasi mbalimbali za kiuongozi serikalini.Hakuna elimu bila mwalimu.Leo hii Udsm na udom wameanza kulalamikia uhaba wa wahadhiri sababu ni wachache na serikali imewachukua

3.Ukosefu wa walimu shuleni.Kila mtu anajua namba ya walimu mashuleni ni ndogo.Binafsi baada ya kumaliza elimu yangu ya sekondari nilifanya kazi kama mwalimu wa kujitolea nikifundisha masomo ya sayansi ambayo hayakua na walimu katika shule moja ya mkoa wa Tangu hukua wakinipatia posho kidogo ambayo inatoka kwenye michango ya wazazi.Leo hii hili haliwezekani na pesa hakuna

4.Ubadilishwaji wa mitaala usioeleweka.Shule za msingi kuna baadhi ya shule zimepokea mtaala mpya na kupata semina kuhusu mtaala huo ambao unaonyesha elimu ya msingi mwisho la sita.Waziro wa elimu alikanusha lakini mtaala umeanza kutumika baada ya semina kuisha

5.Hali ya kifedha ya walimu na wafanyakazi kwa ujumla.Hili amezidi kuliharibu siimhitaji kulielezea kila mtu anajua

Naiomba serikali ijitafakari upya.Ibadili njia ya kusimamia elimu kabla mambo hayajaharibika
 
Hilo la wahadhiri bora afanye hivyo maana wameharibu wanachuo wengi sana wacha kije kizazi kipya wa wahadhili Ukipima elimu yao na wanavyofanya ni zaidi ya uharo hata hawa walioteuliwa Siku hazigandi mtashukuru kuondolewa vyuoni...
 
tumeipenda wenyewe, chaguo letu wenyewe
na wavimbe wapasuke, tumeipenda wenyewe

si mlimchagua mpIga push up sawa ngoja tufike
 
pitia hili songi
 

Attachments

  • CCM...WATAISOMA..mp4
    2.8 MB · Views: 19
Hilo la wahadhiri bora afanye hivyo maana wameharibu wanachuo wengi sana wacha kije kizazi kipya wa wahadhili Ukipima elimu yao na wanavyofanya ni zaidi ya uharo hata hawa walioteuliwa Siku hazigandi mtashukuru kuondolewa vyuoni...
wewe kijana unawajua hawa waliokua vichwa wa department of chemistry pale UDSM?

Prof. Mubofu(hapo awali alikua Dr. Mubofu). Huyu alikua anafundisha chemical kinetics and electrochemistry. Sijaona mbadala wake pale UDSM. Walikuepo wadokta wakashirikiana nae pale ktk hio kozi, ila wote pumba tu, labda kidoooooogo Dr. Lytu aliyekua anafundisha enzymes kinetics. Pengo la Prof. Mubofu haliwezi kuzibika kirahisi kwa sasa, labda kwakuwa wavumilivu ktk kupata elimu ya chini ya viwango.

Dr. Mdachi, maarufu kama Dr. ENANTIOMER. Huyu alikua anafundisha organic chemistry II, maarufu kama ENANTIOMER. kozi ile wakati mwingine walikua wanashirikiana na Dr mmoja hivi, ambaye kifuupi hakua poa sana kiufundishaji na nkimalezi kama Dr. Mdachi. Kuondoka kwa Dr. Madachi pale depaartment organic Chemistry II halisi imepotea kwa muda, itayofundishwa pale itakua ni feki feki. Ila hata hivyo, nasikia kwakua kaondoka tu na sio kwamba kafariki; nasikia department imemuomba awe anakwenda kufundiha ili wanafunzi weendelee kuneeemeka na madini originl kutoka kwake, na sio feki.

Prof. Mdoe. Huyu alikua anafundisha basic analytical and physical chemistry, hasa katika kipengele cha physical chemistry. huyu ni mlimevu, ila pamojaa na ulemaavu, alikua anafundisha zaidi ya madokta vijana ambaao wao walikua wako beze kusema "we can skip this slide, and this and this ...", mpaka kozi inaisha. Kutokana na uweo wake mkubwa, alikua anachukuliwa na vyuo vingi sana ili akawape madini halisi watoto. Kasa kuondoka nahisi yule jamaa aliyekuja kutufundisha kipati fulani cha hiyo kazi kwa kutusomea 'slide' ndiye atakua kakabidhiwa kozi, hili ni jnga la taifa.

Kiufupi hakuna neema kwa kuondoka kwa hawa vichwa makini waliokua wanafundisha chemistry na kumfanyaa mtu aelewe chemstry.
Mwisho napenda kumuomba JPM asiwachukue Prof. Mhinzi, ambaye ni bingwa wa ingoganic chemistry anayefundisha chemistry alisi, sio contaminated chemistry; Prof. Othman, ambaye ni bingwa wa Instrumental Methods in Analytical
Chemistry; Dr. Kessy, ambaye anacheza miguu yote, ... Huyu baada ya kupata uzoefu wa kotosha akaacha kupoteza muda mwingi ktk kuelezea mambo hali inayopelekea kupoteza muda wa kufundisha, atakua mrithi wa prof. Mhizi au wa prof. Othaman kwa hapo baadae; Dr. Nyanddoro, ambaye anatakiwa aache kutisha wanafunsi na kuwawekea woga na hatiamaye kuwafelisha, badala yake atafute mbinu zaidi ya kuifundisha chemisty,.. huyu anaweza kua mrithi wa Dr mdachi hapo baadae ila baada ya kupata uzoefu wa kutosha na kubadilika kitabia; mdada mmojaa maahiri tanzania nzima ktk chemistry, Dr. j. Munisi,..... huyu kwakweli kwasasa hana mbadala ktk organic spectroscopy pale UDSM,.... japo kozi yake ni ngumu hivyo na maaswali yake ni magumu pia, ila material kutoka kichwani kwake husababisha wanafunzi kuelewa vyema na hatimaye wale gifted kupata A ktk mitihani yake; Dr. Mgina kafiti sana kwenye organic chemistry I, asiguswe huyu; na Dr. R. Peter, pingwa wa coodination chemistry asiye na mbadala kwasasa. Dr. Mkayula umri umeenda na ameshastaafu, ila pengo lake bado limemshika pale UDSM. Chondechonde rais, ulishajeruhi elimu ya Taanzania,ila usiguse kwa hao vichwa waliobaki, utaua elimu yetu.
 
wewe kijana unawajua hawa waliokua vichwa wa department of chemistry pale UDSM?

Prof. Mubofu(hapo awali alikua Dr. Mubofu). Huyu alikua anafundisha chemical kinetics and electrochemistry. Sijaona mbadala wake pale UDSM. Walikuepo wadokta wakashirikiana nae pale ktk hio kozi, ila wote pumba tu, labda kidoooooogo Dr. Lytu aliyekua anafundisha enzymes kinetics. Pengo la Prof. Mubofu haliwezi kuzibika kirahisi kwa sasa, labda kwakuwa wavumilivu ktk kupata elimu ya chini ya viwango.

Dr. Mdachi, maarufu kama Dr. ENANTIOMER. Huyu alikua anafundisha organic chemistry II, maarufu kama ENANTIOMER. kozi ile wakati mwingine walikua wanashirikiana na Dr mmoja hivi, ambaye kifuupi hakua poa sana kiufundishaji na nkimalezi kama Dr. Mdachi. Kuondoka kwa Dr. Madachi pale depaartment organic Chemistry II halisi imepotea kwa muda, itayofundishwa pale itakua ni feki feki. Ila hata hivyo, nasikia kwakua kaondoka tu na sio kwamba kafariki; nasikia department imemuomba awe anakwenda kufundiha ili wanafunzi weendelee kuneeemeka na madini originl kutoka kwake, na sio feki.

Prof. Mdoe. Huyu alikua anafundisha basic analytical and physical chemistry, hasa katika kipengele cha physical chemistry. huyu ni mlimevu, ila pamojaa na ulemaavu, alikua anafundisha zaidi ya madokta vijana ambaao wao walikua wako beze kusema "we can skip this slide, and this and this ...", mpaka kozi inaisha. Kutokana na uweo wake mkubwa, alikua anachukuliwa na vyuo vingi sana ili akawape madini halisi watoto. Kasa kuondoka nahisi yule jamaa aliyekuja kutufundisha kipati fulani cha hiyo kazi kwa kutusomea 'slide' ndiye atakua kakabidhiwa kozi, hili ni jnga la taifa.

Kiufupi hakuna neema kwa kuondoka kwa hawa vichwa makini waliokua wanafundisha chemistry na kumfanyaa mtu aelewe chemstry.
Mwisho napenda kumuomba JPM asiwachukue Prof. Mhinzi, ambaye ni bingwa wa ingoganic chemistry anayefundisha chemistry alisi, sio contaminated chemistry; Prof. Othman, ambaye ni bingwa wa Instrumental Methods in Analytical
Chemistry; Dr. Kessy, ambaye anacheza miguu yote, ... Huyu baada ya kupata uzoefu wa kotosha akaacha kupoteza muda mwingi ktk kuelezea mambo hali inayopelekea kupoteza muda wa kufundisha, atakua mrithi wa prof. Mhizi au wa prof. Othaman kwa hapo baadae; Dr. Nyanddoro, ambaye anatakiwa aache kutisha wanafunsi na kuwawekea woga na hatiamaye kuwafelisha, badala yake atafute mbinu zaidi ya kuifundisha chemisty,.. huyu anaweza kua mrithi wa Dr mdachi hapo baadae ila baada ya kupata uzoefu wa kutosha na kubadilika kitabia; mdada mmojaa maahiri tanzania nzima ktk chemistry, Dr. j. Munisi,..... huyu kwakweli kwasasa hana mbadala ktk organic spectroscopy pale UDSM,.... japo kozi yake ni ngumu hivyo na maaswali yake ni magumu pia, ila material kutoka kichwani kwake husababisha wanafunzi kuelewa vyema na hatimaye wale gifted kupata A ktk mitihani yake; Dr. Mgina kafiti sana kwenye organic chemistry I, asiguswe huyu; na Dr. R. Peter, pingwa wa coodination chemistry asiye na mbadala kwasasa. Dr. Mkayula umri umeenda na ameshastaafu, ila pengo lake bado limemshika pale UDSM. Chondechonde rais, ulishajeruhi elimu ya Taanzania,ila usiguse kwa hao vichwa waliobaki, utaua elimu yetu.
Kuzuia Mtu asiteuliwe nafasi fulani ya juu ati kisa anasaidia sehemu fulani ni ubinafsi na kumkandamiza mtu... usiombee yakukute hayo me yalishanikuta hadi kazi kidogo niache maana hukui... Kiufupi Elimu yetu kazi yake ni kuajiliwa tu sababu hatuzalishi kitu na vyuo havina production yeyote ile katika kukuza uchumi au uzalishaji labda naweza sema kemia maana tuna kiwanda ila sijui hali yake ikoje kile cha Keko Pharmacy pengine pain killer zinatengenezwa huko but tupo down sana... so hata raisi akiteua nchi haiathiliki na kitu... tafuteni mbinu mkasome nje am sure mtakuja fanyia kazi mlichokisomea... elimu ya bongo inaleta sifa tu pale utakapogombea ubunge na ili uchaguliwe kuwa waziri..lakini sio kutengeneza sijui type of acid,insect killer viwe kwenye mass production zaidi ni kujipatia cheti tu... so wacha kije kizazi kipya kuna vitu mnafundishwa ambavyo havitakiwi kufundishwa maana vimepitwa na wakati trust me. Magufuli anachofanya ana maana yake... Tanzania issue ni elimu ya Msingi ilikosewa na juu hakuwezi kuwa imara.
 
Mkulu labda anafikiri kiwango cha elimu kitaimarika zaidi kwa kampeni ya madawati pekee
 
Kuzuia Mtu asiteuliwe nafasi fulani ya juu ati kisa anasaidia sehemu fulani ni ubinafsi na kumkandamiza mtu... usiombee yakukute hayo me yalishanikuta hadi kazi kidogo niache maana hukui... Kiufupi Elimu yetu kazi yake ni kuajiliwa tu sababu hatuzalishi kitu na vyuo havina production yeyote ile katika kukuza uchumi au uzalishaji labda naweza sema kemia maana tuna kiwanda ila sijui hali yake ikoje kile cha Keko Pharmacy pengine pain killer zinatengenezwa huko but tupo down sana... so hata raisi akiteua nchi haiathiliki na kitu... tafuteni mbinu mkasome nje am sure mtakuja fanyia kazi mlichokisomea... elimu ya bongo inaleta sifa tu pale utakapogombea ubunge na ili uchaguliwe kuwa waziri..lakini sio kutengeneza sijui type of acid,insect killer viwe kwenye mass production zaidi ni kujipatia cheti tu... so wacha kije kizazi kipya kuna vitu mnafundishwa ambavyo havitakiwi kufundishwa maana vimepitwa na wakati trust me. Magufuli anachofanya ana maana yake... Tanzania issue ni elimu ya Msingi ilikosewa na juu hakuwezi kuwa imara.

sasa kama tatizo ni elimu ya msingi, kwanini awachukue hao wa juu na sio wanaowaanda wa shule za misingi?
je hicho kizazi kipywa chenye mambo mapya kimeandaliwa lini na kiko wapi, mpaka tuseme kwasasa hatuhitajii madini ya hao unaowaona ni wa zamani? na
hicho kizazi kinatumia nini katk kufikia hayo matarajio unayosema wewe.
 
sasa kama tatizo ni elimu ya msingi, kwanini awachukue hao wa juu na sio wanaowaanda wa shule za misingi?
je hicho kizazi kipya chenye mambo mapya kimeandaliwa lini na kiko wapi, mpaka tuseme kwasasa hatuhitajii madini ya hao unaowaona ni wa zamani? na
hicho kizazi kinatumia nini katk kufikia hayo matarajio unayosema wewe.
Kizazi kipya kipo ila kinabaniwa sana nadhani kwa sababu ya kulelewa kimayai sana vitoto vya FEZA School,St.Marian yaani vipo Tatizo sielewi ni nini maybe tunalaana Kuna Madogo wameenda kuzamia Nje ya Nchi maana for sure Ukitaka kuishi Bongo vizuri uwe mwana siasa tu maana hatuna cha kuzalisha so maisha mazuri yamebakia kwenye siasa tu... vizazi vipya ni ngumu kurejea na kuleta mapinduzi Mfano kuna nchi like Iran inasomesha nje raia wake na kurejea home kutumikia ni lazima na pia unawezeshwa kwenye fan yako kama mgunduzi n.k uliza Tz nini kipo?
 
Back
Top Bottom